deepsea
JF-Expert Member
- Aug 10, 2013
- 3,287
- 946
We unataka kiongeze mchezaji gani?...
Isije ikaonekana akili yako ndio ya hovyo Chifu...
Nitakujibu nini mwenye akili ya hovyo mkuu wewe mwenye akili nzuri
We unataka kiongeze mchezaji gani?...
Isije ikaonekana akili yako ndio ya hovyo Chifu...
Kiu uhalisia ngao ya hisani inaangukia msimu ulio pita wala si msimu huu....kwa sababu inachezwa kabla hata ligi kuanza...na inakutanisha washindi wa makombe ya msimu uliopita. Kwa maelezo hayo
Manure ooh sorry Manchester United msimu huu imeambulia patu...nyodo zote za Robin Van Persea kwishney..!
Kuna na wale waliosema Le Professer Wenger ni "Specialist in Failure" na wavutia pumzi...!!
![]()
Hahahaaaaaaa .....
Hao ndio vidumeeeeeeeeee!!
Nitakujibu nini mwenye akili ya hovyo mkuu wewe mwenye akili nzuri
Bingwa wa mabingwa....What a day..