Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wakuu wa Gunners msiwe na wasi wasi, vidonge ninavyowapa wapinzani ni vikali sana IP yangu inafungiwa mara kwa mara .... ...... naona watazoea tu.


zp_505974005_SM_6653_E8A42EE421EA1111E56AC0AB30AA1F14_5243.jpg


zp_505974005_SM_6810_A31820D0F95920A32C287ED3DB5513DA_6673.jpg



zp_505974005_SM_6924_4E549D1586ECB16ED5C14BCB4C83E18B_3415.jpg

BTW vijana wako poa sana, wamefanya mazoezi ya mwisho mwisho na tunawategemea kesho kuona jinsi watakavyokwaana na
Mancs ..... ... bring them on!
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Acha maneno mengi subiri dk 90 ziishe

Hahahha....
Nilikuona kule MMU eti umewa miss,
Yaani na mapema mshaanza tafuta pa kuficha nyuso zenu ee?!

Hii leo ni pre-season tu kwetu, dakika 90 zikiisha bado tutabanana humu mpaka #May2015 panapo uzima..!

Karibu bana...hehhhe


#MosKwito !
 
F u ckin british Weather fungeni Mancunian hao warudi kwao kwa wajinga wenzao Mashetani! Mtu unajisafu Mie Devil inakuja kweli? Hata Mungu hapendi.
 
F u ckin british Weather fungeni Mancunian hao warudi kwao kwa wajinga wenzao Mashetani! Mtu unajisafu Mie Devil inakuja kweli? Hata Mungu hapendi.

.....hii weather storm ishaaribu gemu kwa kiwango fulani, #Wembley chakachua kweli uwanja huu!


#MosKwito !
 
Aaaaargh.. Wanazi wa Arsenal bado wana machungu na Nasri?..Naona wanamzomea kinyama
 
Back
Top Bottom