Wacha1
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 16,676
- 8,246
Wakuu wa Gunners msiwe na wasi wasi, vidonge ninavyowapa wapinzani ni vikali sana IP yangu inafungiwa mara kwa mara .... ...... naona watazoea tu.
BTW vijana wako poa sana, wamefanya mazoezi ya mwisho mwisho na tunawategemea kesho kuona jinsi watakavyokwaana na Mancs ..... ... bring them on!
BTW vijana wako poa sana, wamefanya mazoezi ya mwisho mwisho na tunawategemea kesho kuona jinsi watakavyokwaana na Mancs ..... ... bring them on!