Chief, siyo kwamba nimekukumbusha karibu!.chief umenikumbusha mbali, MATCH OF THE DAY!! Bado ALAN HANSEN,GARY LINEKER na ADRIAN CHILLES wanahost hii show au washabadilishwa??
Chief, siyo kwamba nimekukumbusha karibu!.
Match of The Day bado ipo na inaendelea vizuri.
Adrian Chiles alishahama na kujiunga na ITV Sport. Kwa sasa kiti kinakaliwa na Gary Lineker akisaidiwa na Alan Hansen na pia Alan Shearer. Kuna pundit wengine ambao huwa wanakuja na kuondoka kama Danny Murphy.
Alan Hansen hata hivyo atastaafu baada ya World Cup mwaka huu.
Kuna MOTD 2 pia ambayo huwa ni Sunday night.
Mkuu Sizinga je unafikiri kiasi cha 100 atakachopewa Mzee Wenger, zitatosha kuimarisha kikosi hapo Julai 2014?
kawaida wapinzani kuombeaana shari.weweseko!!
hicho ndicho mnachokiwaza misimu nenda misimu rudi kujihakikishia usalam wa nafasi yenu ya nneNafasi yetu tayari...........
its you who should stay tune sisi macho na masikio yetu yote tunayelekeza msimu ujao kawaida yetu huwa tunateleza msimu mmoja unofuata tunarekebisha makosa.Wala usiwe na shaka Prof haendi kokote ingawa anatakiwa kule France kwa kitita cha £22 million after tax wakati Gunners wanampa £8 million tu. Huyu sio mediocre coach kama unavyofikiri.
Hivi unafikiri hilo jina na Prof ni la maji marefu? khe khe khe khe keh khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Timu inayoogopwa kwenye EPL na ambayop imekwenda season bila kufungwa na kimburu yeyote. Tunaanza na FA cup then mtatukoma tu khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Diaby on his way back, Jack on his way back, Rambo and Ozil already back stay tuned .... ... .... ...