Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

1234951-26500260-640-360.jpg



Vijana wamemaliza kazi wanachubiri finali chacha Wembley .... .. .COYG
 
......COYG!!!......WHERE ART THOU?
TOGETHER WE STAND,......dahhhh, msimu ndio unakata kona,
soon majukwaa yatakauka story haya,...

One final EPL game, then closing the curtain kwa FA cup final...
dahh,...cant wait for the day aisee,...MwenyeziMungu atuweke hai na uzima.
Naiona siku hiyo atashinda Nzi hapa aliyevaa Belo la Mndengereko! si unawajua tena
hawa watu kwa domooooo!

Ntuzu keshajikubalia matokeo sasa, kimyaaaaa na Mentor wake.
Come on you Gunners!...one final push!!!
kamanda Wacha, rubaman, Sizinga, Wandugu Masanja, Balantanda, piere. Fm, Ng'wamapalala et al..
...#TogetherWeStand !!!
My fellow Gunner Mbu ninashukuru kwa dokezo lako.

Nimelipenda andiko lako kama Gunner kwa jinsi ulivyochagua maneno kutoka ndani ya Arsenal kuwaangamiza Arsenal voyeur wakiongozwa na Nzi

Yes, hata mimi ninaisubiri sana hiyo Saturday 17 May kwenye mida ya 17:00 GMT, lakini vile vile ninaijongea hiyo siku kwa pause and reflection hasa kutokana na umuhimu na uzito wa match yenyewe kwetu kama team, members and funs ukilinganisha na The Tigers ambao hawana pressure kwa sababu wameishajihakikishia kucheza kwenye UEFA Europa League kwa vile sisi tayari tuko kwenye UEFA Champions League.

Ninapata matumaini kuwa mara ya mwisho kucheza kwenye fainali ya FA Cup katika Uwanja wa Wembley tulishinda kwa kumtandika Newcastle 2-0.

ninakuachia hii chat uangalie na kuchambua kile ambacho kilitufanya tukawa kwenye nafasi ya nne kwenye EPL ukilinganisha na timu zingine.

Maoni yangu!. Kwa kushindwa kwetu kushinda match ambazo tulikuwa tunapambana na top six, ndiyo imetufanya kumaliza kwenye top four kwa sababu rate yetu ya ushindi kwenye timu ambazo zilikuwa nje ya top seven ni wastani wa 2.50 points per game.

Ninafahamu kuna factor nyingine lakini hii kwangu ndiyo main factor.



Chelsea-best-v-best-worst-v-rest.jpg


Once a Gunner, Always a Gunner.
 
Still a bunch of loosers, mnaongoza league hadi january na mnambwela mbeleni
 
I thought the last time goons played FA cup final was vs. Man United in 2005? Ng'wamapalala

NI kweli, Records hazidanganyi mkuu!!
2005 – The "Park The Bus" Final
21st May 2005Arsenal 0 Manchester United 0 (Arsenal won 5-4 on penalties)
Millennium Stadium
Attendance: 71,876
Jens Lehmann, Lauren, Kolo Toure, Philippe Senderos, Ashley Cole, Cesc Fabregas (Robin van Persie), Patrick Vieira (captain), Gilberto Silva, Robert Pires (Edu), Jose Antonio Reyes, Dennis Bergkamp (Freddie Ljungberg).
Penalty scorers: Lauren, Ljungberg, van Persie, Cole, Vieira.
 
......COYG!!!......WHERE ART THOU?
TOGETHER WE STAND,......dahhhh, msimu ndio unakata kona,
soon majukwaa yatakauka story haya,...

One final EPL game, then closing the curtain kwa FA cup final...
dahh,...cant wait for the day aisee,...MwenyeziMungu atuweke hai na uzima.
Naiona siku hiyo atashinda Nzi hapa aliyevaa Belo la Mndengereko! si unawajua tena
hawa watu kwa domooooo!

Ntuzu keshajikubalia matokeo sasa, kimyaaaaa na Mentor wake.
Come on you Gunners!...one final push!!!
kamanda Wacha, rubaman, Sizinga, Wandugu Masanja, Balantanda, piere. Fm, Ng'wamapalala et al..
...#TogetherWeStand !!!
this season we all got what we deserve ,kuanzia arsenal man u chelsea na man city.na liverpool
 
Back
Top Bottom