Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nafikiri pia Olivier Giroud hatacheza sana msimu ujao, ni bora aje Karim Benzema au huyu Roic Remmy ambae leo hawezi kucheza sana.
 
kipa wa Newcastle Leo mikono na Mbavu zitamuuma kazi anayo Arsenal wanafanya Training na Kipa wa Arsenal asije akasinzia tu manake Newcastle hawafiki kabisa langoni mwa Arsenal.
 
Umuhimu wa Champions League

Hizi ni takwimu za msimu wa 2012-13

Pesa ni kwa kutumia sarafu ya Euro

Kutafuta nafasi (Arsenal itacheza mchuan huu) : €2,100,000

Ada ya kulipia kucheza mchuano wa makundi: €8,600,000

Kila timu inaposhinda mechi moja inapata: €1,000,000

Timu zinapotoka sare kwenye mechi za kwenye makundi zinapata: €500,000

Mzunguko wa 16 au last 16 (kufikia hapo): €3,500,000

Robo-fainali: €3,900,000

Nusu-fainali: €4,900,000

Anaeshndwa fainali: €6,500,000

Bingwa anapata: €10,500,000
 
Mechi na West Brom itakuwa ngumu kidogo.

Ile tunaweza kutoa sare.
 
Cheik Tiote asipoangalia atakula kadi nyekundu maana tayari anayo ya njano.
 
Arsenal mpaka sasa wamepiga kona 10 na Newcastle hawana kona.

Dakika inakwenda ya 56.
 
Newcastle wanamuingiza mshambuliaji Shola Ameobi na anatoka Dan Goslin.
 
Back
Top Bottom