autorun255
JF-Expert Member
- Sep 8, 2013
- 1,105
- 364
Naskia wenga analilia utadhani petro alivyo mkana yesu mara tatu....
Arsenali....Arsenali...
In Arsene We Trust????....
Hongereneni jirani zangu Chelsea kwa ushindi huu mnono ambao mmestahili kuupata....The best team won....
Tatizo mzee wetu Wenger hajifunzi....Keshazoea vichapo...Ni aibu kwa timu inayojiona inagombea Ubingwa kufungwa goli 6-0....
Chelsea mshindwe wenyewe kuchukua Ubingwa sasa....Ila muwe waangalifu....Man City wana viporo vingi
Arsenali....Arsenali...
In Arsene We Trust????....
Hongereneni jirani zangu Chelsea kwa ushindi huu mnono ambao mmestahili kuupata....The best team won....
Tatizo mzee wetu Wenger hajifunzi....Keshazoea vichapo...Ni aibu kwa timu inayojiona inagombea Ubingwa kufungwa goli 6-0....
Chelsea mshindwe wenyewe kuchukua Ubingwa sasa....Ila muwe waangalifu....Man City wana viporo vingi
Sawasawa, sidhani kama hata huwa anaangalia hawa Chelski tactics zao zikoje, au labda ndo "you can't teach an old dog new tricks".
Inawezekana nae kashakua babu bana, hiivi vichapo vya magoli sita tano nne tumechoka.
Hajasaini mkataba, labda nae keshaona muda wake umefika, tatizo tunapewa false hopes kwenye vikombe vyote, halafu kimoja baada ya kimoja tanatolewa, kila msimu...
Kichwa kinauma bana..
Nilishakwambia wewe ndio mburukenge Original uliyebaki mburukenge Feki wote hawaonekani
Kweli itamake headlines kesho,kupigwa goli sita si mchezo.
Bwawa limeingia ruba hilo.
"Nlikuwepo":bolt:
Watakuwa wanachaji simu zao