Nimekaa mahala hapa naangalia mpira, wenzangu pia hawashangilii maholi ya Chelsea....
Nahisi miguu nao imewaisha nguvu,
🙂
#MosKwito !
Msijali mashabiki wa arsenal mourinho hawezi kuwapiga 8 kama sisi mwisho wake saba tu so msijali sana hamtofanyiwa humialtion.
Come on Chelsea, we need more goals.
kesho sijui mtaweka wapi sura zaenu.,tatizo kinachowaponza eti mnajifanya mnashambulia na nyie so nyuma kunafunguka nahisi bora mpk basi tu kama sio treni walau zinaweza kuishia hapo hapo sita
Tukiwabugiza goli nyingi hawajamaa itakuwa full shangwe yaani 1000th match with a Big win...sipatii picha magazeti ya UK, itamake head line wiki nzima.
Mkuu hawa Arsenal wameniudhi coz wamesababisha Chelsea atusogelee Liverpool kwa goal difference...!Kweli itamake headlines kesho,kupigwa goli sita si mchezo.
Bwawa limeingia ruba hilo.
"Nlikuwepo":bolt: