Ginehe Ntuzu
Kwanza nakupa hongera kwa kutupatia kipigo cha kimasikini.
This was serious spanking!. Sitaki kuanza analysis ya game even though spankings aren't one off any more.
Kufungwa magoli 5-0, 6-3, 6-0 kwenye away matches hakuwezi kukaachwa kuelea juu juu. Something somewhere along the management line is serious wrong.
Once a Gunner, Always a Gunner.
Ginehe Ntuzu
Kwanza nakupa hongera kwa kutupatia kipigo cha kimasikini.
This was serious spanking!. Sitaki kuanza analysis ya game even though spankings aren't one off any more.
Kufungwa magoli 5-0, 6-3, 6-0 kwenye away matches hakuwezi kukaachwa kuelea juu juu. Something somewhere along the management line is serious wrong.
Hata game na majirani zetu (The Lilywhites) tuliponea chupu chupu kwa kutokuondoka na sare au kupoteza.
Huwezi kuweka Oxlade-Chamberlain, Cazorla na Arteta kwenye game yenye wachezaji wazuri katika counter attack ukategemea wanaweza kuzinduka kwa haraka pale timu inapopoteza mpira.
Acha niisahau hii game haraka hasa ikichukuliwa leo ni weekend. This is football!.
Once a Gunner, Always a Gunner.
lets wait and see
hamna timu ya kusimama na liverpool
in actual fact hakuna timu EPL ya kusimama na liverpool
.....ahhh bana, yani hukumuona Balantanda, Sizinga, pierrefm et al humu?...
Wengine wanachambua Rasimu ya Katiba kwanza, mustakbali wa taifa kwanza,....
TogetherWeStand!!!
#MosKwito !
Na mimi natoa pole maalumu Kwa Sizinga Aache kuongea sn!
Ata hapa jamvini akina Sizinga watakua na adabu!
Na hilo lazima tulichukue.....!COYGHili jukwaa leo ni tamu sana kulitembelea...
Wale waliokuwa wanajiita mabingwa wamebakia na kombe moja mpaka sasa.
"Nlikuwepo":bolt:
Pamoko mkuu....always Gunners
I admit a very BAD DAY today!!
Pole sn Mkuu!
Leo niko hapa kwaajili ya kutoa pole tu!
Maana akili yng sasaivi imeahamia kuandaa mkakati Wa kuinyonga Liverpool pale Anfield Maana kazi na nyie nimeshamaliza!
Poleni sn Arsenal Fans!
Hongera mkuu let me take a break then....tutakutana somewhere again next season!! Ila msijisahau sana, we gonna Bounce Back
Leo imekuwa siku mbaya sana kwa upande wangu...
lets wait and see
hamna timu ya kusimama na liverpool
in actual fact hakuna timu EPL ya kusimama na liverpool
not only You mkuu hii ni kwa Gunners wote kitu cha msingi tusonge mbele and don't look back.
Arsenal wamekua kabinti special....kila mtu anajipigia