Rockcity native
JF-Expert Member
- Dec 31, 2012
- 2,174
- 1,460
Majanga mengne wenger anajitakia we game kama hii ngum uko ugenin unaweka kiungo mkabaj mmoja kiungo mwenyewe sio mkata umeme asilia, kwaninin hakumweka atleast flamin? Ye hamwoni mwenzake yupo home lakini kaweka wakata umeme wawili matic na luiz