Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal mnaboaaaaaaaa,watu tumeacha shughuli zetu kuangalia tulijua itakuwa big match matokeo yake mechi imeisha dk ya 17.daaaammmn!!!


Wallahi bro,
Team yangu imeni disappoint sana
Leo, 12.45am kick offs tuna mkosi nazo kwa hawa Big four.

It's purely disgusting!!!


#MosKwito !
 
Dah huyu wenger giroud anampendea nini?? Si bora angemtoa yeye akamuacha podolski walau atasumbua na kupiga mashuti mbele kule.
 
mpira kadaka chamberlin red card kapigwa gibbs
 
kwani kale kaubaguzi kake kakupenda wafaransa wenzake kalishaisha?
Dah huyu wenger giroud anampendea nini?? Si bora angemtoa yeye akamuacha podolski walau atasumbua na kupiga mashuti mbele kule.
 
Msipoangalia leo Arsenal mtapigwa bila condom maana tatu tayari zimeisha!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
poleeeee babu Wenger poleeee wanavyo kukubela poleee
 
Wallahi bro,
Team yangu imeni disappoint sana
Leo, 12.45am kick offs tuna mkosi nazo kwa hawa Big four.

It's purely disgusting!!!


#MosKwito !

pole mkuu maana nashindwa hata nikufariji vipi na ndio kwanza dk ya 30,leo mkikoswa saana mmepigwa tano yaani hapo mmeonewa huruma lol.! Ila komaeni mnaeza kupata hata moja.ila nahisi mnabidi mumwingize falmini aje awatulize akina matic pale kati.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Back
Top Bottom