Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
mnafurahia sare duh! hongereni.
Nani kakwambia tunafurahia sare aisee.kwani sisi Man U..Lol
mnafurahia sare duh! hongereni.
Indeed!! 😀😀😀
Hapana mkuu, half ya pili tulirudi stronger, kama utakumbuka Villa walikuwa wametuacha kwa pointi kadhaa na tulikuja kuwaovateki huku mwisho, tunategemea baadhi ya majeruhi wetu kuanza kurudi soon kwa hio tutazidi kuwa stronger.Just a reminder, mwaka jana mlianza kuwa wabovu nusu ya pili ya msimu....pengine ndio mmeanza ku-drop points sasa.
...whatever the case, inaniuma sana kupoteza pointi mbili (Muhimu). Consistency na incosistency ni vitu viwili tofauti. Game hii ...tena uwanja wa nyumbani, tumechemka!
Just a reminder, mwaka jana mlianza kuwa wabovu nusu ya pili ya msimu....pengine ndio mmeanza ku-drop points sasa.
Sisi kwa mara nyingine tena tumekuwa na kipindi kigumu sana wakati huu wa December, naona inakuwa tabia sasa na we need to do something about it.Hapana mkuu,si kweli..Mwaka jana raundi ya pili ndo tulianza kufanya vizuri ila tuliharibu sana raundi ya kwanza...Halafu,kwani nyie Chelsiki mwenendo wenu ukoje so far,maana nanyi pia mmepoteza pointi nyingi tu kwa sare na kufungwa,so usishangae sana sie kutoka sare leo,tena ya 2-2??😀😀
Sisi kwa mara nyingine tena tumekuwa na kipindi kigumu sana wakati huu wa December, naona inakuwa tabia sasa na we need to something about it.
naona 2 points droped leo au ni one point gain kwa jinsi tulivyozidiwa? lol naona pengo la song limeoneka sio.
Inabidi ushukuru kwa kupoteza mbili tu, Everton wamepata nafasi nzuri za kushinda lakini hawakuwa makini.
...whatever the case, inaniuma sana kupoteza pointi mbili (Muhimu). Consistency na incosistency ni vitu viwili tofauti. Game hii ...tena uwanja wa nyumbani, tumechemka!
bila shaka umekula maneno yako mkuu!!!
Arsenal boss Arsene Wenger on the 2-2 draw with Everton: "It was close at times to being 3-1 but we managed to bring it back to 2-2 and I think that was down to our tremendous spirit that we were able to claim a point."
Lucky Arse!
Just a reminder, mwaka jana mlianza kuwa wabovu nusu ya pili ya msimu....pengine ndio mmeanza ku-drop points sasa.