Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wakuu mupo???,gemu na Everton yaendelea ni dakika ya 25 tushachapwa goli moja lililofungwa na Leon Osman dakika ya 13..Gallas anakosa goli pale....daaaaaaaaaaaah
 
Eduardo goooooooooooooooooooooooooal,dakika ya 29 Eduardo anatupatia goli la kusawazisha,safi sana
 
Half time sasa Arsenal 1 Everton 1..Pengo la Fabregas na Song linaonekana dhahiri
 
Forwards zetu nyepesi, Eduardo ameingia Vela, Wenger ameishiwa na ideas.
 
Wakuu hongereni naona mnacheza kwenye snow kama warusi!!! everton wameshachoka
 
mwaka wa kufa kwa nyani, kila siku tunalia na consistency tumefanya vizuri mechi 5 leo tumerudi na kale kaugonjwa
 
Denilson huyooo atoka na machela...Isije ikawa Bundi ndo aanza kufanya vitu vyake aisee
 
kweli msimu huu ni wa shetani naona mnapoteza wachezaji kiajabu-ajabu!
 
Back
Top Bottom