Hii ni Special Arsenal thread, mada kuu ni Arsenal. Hiyo mada unayoisema wewe s msingi wa uzi huu. Hayo mengine yote ni maoni yako binafsi ambayo si lazima yawe ndio ukweli wenyewe.
......yeah man, #TogetherWeStand !
It's only the 1st 90s of the 180 minutes za last 16/2....
Hawa wetu kabisa, 11 against 11 mjini Munchen ama zetu ama zao!
#COYG !!!
#MosKwito !
Definitely right here, Szczesny was trying as hard as possible to escape an assault aerial lunging left leg of Robben. Image if Szczesny would had attempted to win a ball what could had happen to him.
![]()
Fou'? It looked like Szczesny clatters into Robben's standing leg taking him down
Definitely right here, Szczesny was trying as hard as possible to escape an assault aerial lunging left leg of Robben. Image if Szczesny would had attempted to win a ball what could had happen to him.
Hii ni Special Arsenal Thread. Hiyo mada unayoisema haipo. Yaliyosalia ni mawazo yako, ambayo si lazima yawe ndiyo mawazo ya wengine wote.Jikite kwenye mada acha longolongo....! maajabu ni kuwa Waendeshaji wa mpira Ulaya ...hasa waratibu wa UEFA champions league ambao walikuwa wanaaminiwa kwa uweledi wa kiwanamichezo wameingia kwenye kashfa nzito ya kupanga matokeo ya timu kwa kutumia marefarii wazembe...mfano mechi ya Arsenal vs Bayern, Man City vs Barca.
Ni maajabu maana haikudhaniwa hapo kabla...ila imewezekana kufanyika
Daylight robbery by referee......
Even his German compatriot Mertesacker did the same thing to him sijui ilikuwa mechi gani.
![]()
![]()
Even his German compatriot Mertesacker did the same thing to him sijui ilikuwa mechi gani.
![]()
![]()
Magazeti ya Uingereza hayafaii yakiamua kumponda mtu yaani!! Eti "Lazy ozil"...kuna kocha mmoja aliwahi kusema kwamba.."Once You loose the game, don't read any kind of newspaper "
Magazeti ya Uingereza hayafaii yakiamua kumponda mtu yaani!! Eti "Lazy ozil"...kuna kocha mmoja aliwahi kusema kwamba.."Once You loose the game, don't read any kind of newspaper "
Ilikua baada ya kipigo cha mbwa mwizi pale Etihad