Mourinho
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 4,619
- 2,328
Hivi kocha wa timu ya taifa ya Ujerumani alikuwepo kwenye mechi ya juzi?
Yap, alikuwepo.
Hivi kocha wa timu ya taifa ya Ujerumani alikuwepo kwenye mechi ya juzi?
Wazungumzie na akina Mertesacker na Flamini pia; I don't think they own those English news papers.
Interestingly, those players are not even English.
You don't even need to read the papers kujua kuwa performance yake imekuwa chini than expected.
Wengine huwa tunamwona akicheza, huku wachezaji wenzake wakimkandia live.
Labda "Once You're loosing the game, then turn off the TV".
Pamoja na magazeti hayo kumponda, it is a naked fact that performance ya jamaa kwenye big matches ni poor.
We saw him kwenye mechi ya Man City, Liverpool na sasa Buyern.
I still give him the benefit of the doubt ikizingatiwa ni msimu wake wa kwanza kwenye Premiership.
Hivi kocha wa timu ya taifa ya Ujerumani alikuwepo kwenye mechi ya juzi?
Arsenal ilikuwa inahitaji sana wachezaji dizaini ya Flamini na Metersacker hawa jamaa wana mentality za kingereza na wamewasaidia sana Arsenal msimu huuWazungumzie na akina Mertesacker na Flamini pia; I don't think they own those English news papers.
Interestingly, those players are not even English.
You don't even need to read the papers kujua kuwa performance yake imekuwa chini than expected.
Wengine huwa tunamwona akicheza, huku wachezaji wenzake wakimkandia live.
Labda "Once You're loosing the game, then turn off the TV".
Pamoja na magazeti hayo kumponda, it is a naked fact that performance ya jamaa kwenye big matches ni poor.
We saw him kwenye mechi ya Man City, Liverpool na sasa Buyern.
I still give him the benefit of the doubt ikizingatiwa ni msimu wake wa kwanza kwenye Premiership.
Nadhani na Wenger is partly to blame, kama mwenyewe ali-admit kuwa Ozil hakuregain his level of confidence baada ya kukosa penati, kwa nini alimuacha amalize dk 90?
He was the third-choice penalty taker.
The first two hawakucheza na kama second choice (Giroud) angekuwepo labda angefunga ile penalty.
But Wenger aliamua kumweka bench his main striker Giroud na kumpanga yule dogo.
Nafahamu wapinzani hawapendi lakini ukweli wa mambo 11 against 11 Munchen walikuwa hoi ........ ...... kitu ambacho wapenzi wa Gunners tunalaumu ni super star Ozil kupiga penalty wakati keshapoteza penalty lukuki huko nyuma ..... ..... ..... anyway thats the game, Munchen nao vile vile walikosa tutegemee mengi return leg. COYG
HahahahahaaaaaaaaaAAaaaaaaaaaa,kie kie kie kieeeeeeeeeee...
Mkuu naonq kicheko chako umekisahau kidogo.
Hamjaonewa lakini.Hata kama mliwazidi kwa mpira,wao waliwazidi kwa mbinu.Usitake kuniaminisha kuwa hata pasi walizopiga walibebwa na refa.
"Nlikuwepo":bolt:
Nani kashinda goli?
Leo giroud anafanya maajab hapa kashatia kambani 2 tayar
giroud kwa assist ya wilshare