japo n m
Tatizo ni kwamba kama Ozil na Wilshere wakindelea kucheza Arsenal hawatakuwa na uwezo wa kurudisha hili goli.
Ni wakati wa kumwingiza Podolski na Giroud.
Na hio inaitwa kwa kingereza damage limitation.
yaani Bayern sahiv wanacheza kwa raha zao kama wanavyojisikia.Hii defending ya kipaki basi itaendelea kiwacost arsenal...
umebakiza Sub moja tu
yaani Bayern sahiv wanacheza kwa raha zao kama wanavyojisikia.
yaani Bayern sahiv wanacheza kwa raha zao kama wanavyojisikia.
wakuu fainali.naona itakiwa barca na bayern au mnaonaje
Wakuu fainali.naona itakiwa barca na bayern au mnaonaje