Mko wachache sana mnaoweza kukiri hili,
Nasubiri kauli za Mbu ,rubaman, Richard, Viper, Ulimakafu, Balantanda,Ng'wamapalala Rejao,Piere. Fm bila kusahau Wacha1
Huyu nae...![]()
He's in the mood for dancing
Naamini zitarudi...mnakumbuka hatrick ya Ashavin mwaka 2009 ? Tulitoka 4-4...I still biliv Arsenal can bounce back...stay tuned
Leo nakufa na tai shingoni..kudadekiiiii
Hahaaaa na sie tupunguze kelele kidogo bhana...Wenger alifanya uzembe sana kutisajili dirisha dogo...Akina Drexler wangetufaa mkuu
Aaacha hii ni hatari aisee within 20 minitus 4 goals.
Leo nane nini??!