Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nshaaanza Kuchoka Aisee na hizi Bia nlizokunywa sijui kama ntatoboa kuwatch hii game
 
#TeamMburukengeUnited wanachungulia tayari tayari kuanza vurugu zao hapa,
COYG,.....together we stand!
It's Monday Football -show time!
 
.....The OX is like a new signing...:coffee:


  • SUBS

    Fabianski, Jenkinson, Gibbs, Rosicky, Podolski, Oxlade-Chamberlain, Ju-Young Park
  • ARSENAL TEAM

    Szczesny, Sagna, Mertesacker, Koscielny, Monreal, Wilshere, Flamini, Cazorla, Ozil, Gnabry, Giroud
 
Aya ndugu zng Wazima humu ndani? Leo mkipata droo ni mbaya kweli!
 
Gnabry anacheza kulia na Santiago Cazorla atakuwa upande wa kushoto. Mesut Ozil atamudu kwenye nafasi ya katikati yaani nyuma ya Giroud.

Ni mtindo unaokaribia 4-3-2-1 wa siku zote pale Wilshere au Ramsey mmoja wao anapocheza nyuma ya mshambuliaji.

Mikel Arteta hayupo hata bench hivyo kutokana na maumivu.
 
Wakuu mpo niaje jioni ya leo?

Game ya leo ngumu mkuu japo nafarijika kuona Aston Villa wamepanga 3-5-2 na kwa kucheza mfumo huu inawabidi wamiliki saana mpira kuliko Arsenal na kiuhalisia japo mpira unachezwa uwanjani lakinh sidhani kama hili litatokea na kumbuka Arsenal wanaendelea na mfumo wao ule ule wa siku zote 4-5-1.
COYG.
 
Mwamuzi ni Neil Swarbrick kutoka mji wa Preston wilaya ya Lancashire.

Huyu pamoja na refa aliechezesha mechi ya Arsenal na Cardiff Jonathan Moss wote walipandishwa kuwa marefa maalum (select group of referees) wa ligi kuu ya Uingereza mwaka 2011.

Ni nadra sana kuharibu mchezo wa kadi zisizo na maana lakini ni mfuatiaji wa kila foul inayochezwa.
 
Game ya leo ngumu mkuu japo nafarijika kuona Aston Villa wamepanga 3-5-2 na kwa kucheza mfumo huu inawabidi wamiliki saana mpira kuliko Arsenal na kiuhalisia japo mpira unachezwa uwanjani lakinh sidhani kama hili litatokea na kumbuka Arsenal wanaendelea na mfumo wao ule ule wa siku zote 4-5-1.
COYG.

Kama nilivyosema hapo juu Arsenal wataendeleza mchezo wao wa 4-3-2-1 na Giroud anakuwa mbele peke yake lakini Mezut Ozil atakuwa nyuma yake na pembeni kuna Gnabry na Cazorla.

Flamini atakuwa akilinda bckfour na Wishere hatakuwa akienda sana mbele ili kuwadhibiti midfield ya Villa.
 
Kama nilivyosema hapo juu Arsenal wataendeleza mchezo wao wa 4-3-2-1 na Giroud anakuwa mbele peke yake lakini Mezut Ozil atakuwa nyuma yake na pembeni kuna Gnabry na Cazorla.

Leo nategemea kuona vitu adimu kutoka kwa Dogo Gnabry..Huyu dogo japokuwa hana kasi kama ya Walcott ila ana akili sana anapokuwa na mpira....Na leo ana nafasi ya kuonyesha anastahili badala ya Ox
 
Kama nilivyosema hapo juu Arsenal wataendeleza mchezo wao wa 4-3-2-1 na Giroud anakuwa mbele peke yake lakini Mezut Ozil atakuwa nyuma yake na pembeni kuna Gnabry na Cazorla.

Flamini atakuwa akilinda bckfour na Wishere hatakuwa akienda sana mbele ili kuwadhibiti midfield ya Villa.

Pamoja saana mkuu.
...COYG...
 
Hey we Go Gunners!.

Keep on believing and keep on the trot.

Once a Gunner, Always a Gunner
 
Wenyeji Villa wana fulana zenye rangi mchanganyiko ya blue nyeupe na zambarau na kaptura nyeupe, wakti Arsenal wana fulana za njano na kaptura za rangi ya blue.

Mwamuzi anatoa kadi ya njano kwa El Mahdi kwa kumchezea vibaya Jack Wilshere.
 
Back
Top Bottom