nipo mkuu, arsenal tunashinda leo.Nambie Mkuu! Upo? Nimekuja tena kuwaamsha Mimi kazi Yangu nilimaliza tangu juzi!
Arsenal lazima apigwe Leo!
Ushindi leo lazima.Wakuu wa Gunners kitale kimetulia vijana wapo katika mechi ya kuwatoa nishai hawa jamaa walivuruga mambo walipokuja Emirates ..... .... wenzetu kila uchwao wanabebwa na mbeleko chichi ni lazima tuweke magoli ya uhakika .... .... .COYG