Fekifeki
JF-Expert Member
- Nov 18, 2011
- 1,519
- 652
Hii ni bad news mkuu sasa kuna umuhimu wa Prof kuingia sokoni kutafuta Centre Foward wa uhakika.
... COYG....
Ni kweli mkuu, hata hivyo Majembe yaliyobakia yana uwezo wa kutufikisha tuendako!!
Hii ni bad news mkuu sasa kuna umuhimu wa Prof kuingia sokoni kutafuta Centre Foward wa uhakika.
... COYG....
TRANSFER UPDATES
Wakuu goodmorning,
Habari za usajili wa mshambualiaji kwa timu yetu ya Arsenal zimepamba moto lakini maskauti wapo busy sana na Ivan Gazidis na mwenzie Dick Law ambao ndio wataalam wa kuzungumza biashara za usajili baada ya kuagizwa na mzee Wenger, bado wanazungumza na Real Madrid kuhusu Morata.
Kuna kila sababu kwamba deal la paundi milioni 2 linaweza kufanywa ili Morata aende Arsenal kwa miezi 6 ili apate uzoefu zaidi kutokana na Morata mwenyewe kupendelea option hiyo badala ya kuhama kabisa.
![]()
Alvaro Morata
Wapo nchini Spain na pia maskauti wameulizia kuhusu mshambuliaji mwingine Jackson Martines ambae ni mColombia kuhusu availability yake pale Porto nchini Ureno kama option endapo deal la Morata litashindwa.
Kuna kila dalili kwamba deal la Morata lina usumbufu ukizingatia pia habari kwamba baadhi ya timu za PL zimeingia kwenye mchakato wa kumsajili mchezaji huyo na moja ya timui hizo ni Liverpool.
Lakini "penye udhia penyeza rupia"
COYG!
Mkuu icopy utuwekee basi tujionee plz
Mkuu icopy utuwekee basi tujionee plz
Endeleeni kuota...
Wenger anaendeshwa kwa matukio....We angalia signings zake nyingi ni kwa baada ya panic na presha kubwa. Players like Arteta, Per Mertasacker, Ashavin, Ozil...yani baada ya matokeo mabaya ndio jamaa anasajili. Mi naona gemu hii tushinde lakini ile ya wiki moja before the window closing tupoteze....hata hii mechi tukipoteza si mbaya ila itampa presha Wenger ya kusajili.kwa mtazamo wangu hii gemu ya leo ndiyo itakayoamua nani wa kuchukuliwa, ikiwa timu haitotetereka nahisi umuhimu wa kununua mchezaji hautokuwa mkubwa
mambo yote hayo ninayafikiria tu mwenye uamuzi wa mwisho ni Arsene Wenger
gem Saa ngap wadau
Ungesema lipuli au ujenzi rukwa sawa we mbwa nani anakujua England?unahisa weweee?mbururaaq