Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Giroud anakosa goli la wazi na ni off target pasi ya Bacary Sagna alitoa kutoka upande wa kulia,
 
Mathieu Flamini anapanga wenzie na kuwakumbusha majukumu yao uwanjani na kuhakikisha wanawachunga Benteke na Agbonlahor.
 
Mwamuzi anasimamisha mchezo kutokana na kuumia kwa Nathan Baker wa Aston Villa.
 
Nathan Baker anashindwa kuendelea na mchezo na nafasi yake inachukuliwa na Leandro Bacuna.
 
Ina maana dogo kafumua shuti la maana! Huyu jamaa inaelekea ameumia sana!!! Mashuti mengine siyo ya kuzuia....
 
Wakuu wa Gunners kitale kimetulia vijana wapo katika mechi ya kuwatoa nishai hawa jamaa walivuruga mambo walipokuja Emirates ..... .... wenzetu kila uchwao wanabebwa na mbeleko chichi ni lazima tuweke magoli ya uhakika .... .... .COYG
 
Back
Top Bottom