Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wenger amuweke benchi kama adhabu.

kuwekwa bench haiwez kutokea kw jinsi namjua AW, ijapokuwa pale atakapopata long term injury bench litakuja automaticaly (i thnk vermaelen was a gud example) coz huyu mzee anapokuwa ana iman na m2 huwa ni ngumu kubadilika kw hiyari
 
Duh! mfarisayo unaua kabisa...naona wenyewe wamekimbia kwao...

Wapi BAK Balantanda kashengo MwafrikaHalisi Shadow Nyaluhusa87 Piere. Fm Mutambuki Likwanda MpigaKelele Ng'wamapalala Ulimakafu godsonswai

Wote kimya....

Mm* wenu akiwa hapa, muwe na adabu.
Tuko hapa boss, sijui wewe?
TOP.jpg
 
Game ya j2 ni ngum sana kupita maelezo ila nadhan mzee wenger akifanya rotation kwa watu kama wa 5 au wa 4 nadhani tutashnda. Coz newcastle ana kikosi kidogo ambacho ndo kila siku kinacheza nahisi watakua na fatigue. Kwa watu wa namna hiyo dawa yao ni kuwawekea vibelenge a.k.a mawinga tereza wenye uwezo wa ku score kama walcot na podosky... Halla gunnerz
 
Game ya j2 ni ngum sana kupita maelezo ila nadhan mzee wenger akifanya rotation kwa watu kama wa 5 au wa 4 nadhani tutashnda. Coz newcastle ana kikosi kidogo ambacho ndo kila siku kinacheza nahisi watakua na fatigue. Kwa watu wa namna hiyo dawa yao ni kuwawekea vibelenge a.k.a mawinga tereza wenye uwezo wa ku score kama walcot na podosky... Halla gunnerz

Upo sahihi na kwa mechi hii binafsi nadhan ni vyema Flamin akaanza samba na Arteta ukizingatia kuwa kuna habari kuwa Cheikh Tiote is back na huyu mtu anatumia sana nguvu so Flamin ana umuhimu wake. Na pia Good news ni kwamba Jack kamaliza adhabu yake hivyo anaweza kuanza, Mchezaji mwingine wa speed ni Rosisky ambaye mech ya katikati ya wiki hakucheza na nadhani Prof aliamua kumpunzisha makusudi kutokana na umri wake hivyo uwepo wake hata kwa kuanzia benchi utasaidia saana mechi hii. All in all Podolsk is also back so hii inaweza kuwa neema though ni ukweli kuwa itakuwa game ngumu.
.... COYG....
 
Upo sahihi na kwa mechi hii binafsi nadhan ni vyema Flamin akaanza samba na Arteta ukizingatia kuwa kuna habari kuwa Cheikh Tiote is back na huyu mtu anatumia sana nguvu so Flamin ana umuhimu wake. Na pia Good news ni kwamba Jack kamaliza adhabu yake hivyo anaweza kuanza, Mchezaji mwingine wa speed ni Rosisky ambaye mech ya katikati ya wiki hakucheza na nadhani Prof aliamua kumpunzisha makusudi kutokana na umri wake hivyo uwepo wake hata kwa kuanzia benchi utasaidia saana mechi hii. All in all Podolsk is also back so hii inaweza kuwa neema though ni ukweli kuwa itakuwa game ngumu.
.... COYG....

ningependa mshinde hii game......mkizidiwa pateni hata draw itakuwa matokeo mazuri sana.........
 
X

Kurudi kwa Jack welshire na Tomas Rosisky kunaweza saidia tukapata ushindi.
By the way naona unatuombea ushindi kwa mara ya kwanza ili upate kusogea pale juu.

nishasogea niko nyuma yako 5pts tu nafasi ya sita....sasa cheza upigwe kesho uone kama hujarudi nafasi ya tano baada ya wiki tatu....
 
zp_458844869_SM_6616_55_112EFF_6916.jpg




zp_458844869_SM_6500_25_112EEE_4627.jpg





zp_458844869_SM_6520_2C_112EF2_8097.jpg



zp_458844869_SM_6524_E3_112EF3_9459.jpg



zp_458844869_SM_6529_D3_112EF4_267.jpg




zp_458844869_SM_6540_FB_112EF7_7188.jpg



zp_458844869_SM_6574_96_112EFB_1663.jpg



zp_458844869_SM_4148_D1_112EDA_7601.jpg



Prof alikuwa na vijana Colney kujiandaa na mtanange wa kesho
kabla ya kutimka na kuelekea kaskazini .... .... .


 
zp_458844869_SM_4189_91_112EDC_5890.jpg



Pod alikuwepo .... ...


zp_458844869_SM_6446_D4_112EE8_524.jpg


Giroud alikuwa akifanya kazi ya ziada
kuhakikisha kesho anakwaa angalau magoli kadhaa.


zp_458844869_SM_6477_FE_112EEB_864.jpg



Kos hayuko mbali kurejea .... ..... .COYG
 
nishasogea niko nyuma yako 5pts tu nafasi ya sita....sasa cheza upigwe kesho uone kama hujarudi nafasi ya tano baada ya wiki tatu....

Points 5 hizo mbona si mara ya kwanza kuzifikia! Maana uliwahi kufikia gape la 5 points lakini ukaanza kutiririka zikafika 7, 9, 11 mpaka kwingine huko sijui ni ngapi ulifikia maana niliacha hadi kufuatilia.
 
Back
Top Bottom