Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tupo mkuu Ntuzu, za krismasi. Hongera kwa ushindi.

Thx man! Vp Xmass ilikuaje? Naona mmeshinda na nyie Leo! Hongera Mkuu! Nataka niangalie game City na LFC Mwana!
 
Last edited by a moderator:
Thx man! Vp Xmass ilikuaje? Naona mmeshinda na nyie Leo! Hongera Mkuu! Nataka niangalie game City na LFC Mwana!

Natamani game iishe kwa sare....

Hii ni game inayokutanisha timu bora kabisa katika EPL kwa sasa....
 
Thanks Gunner.

We are still marching on. Mwendapole hajikwai na polepole ndiyo mwendo.

Tukutane tena kwa wazee wa Toon Army On Sunday, 29 December, 13:30 GMT at St. James' Park kutoa doze nyingine kama ilivyo jadi kwa sasa.

Tuwaache wasemaji waliojipachika utaalamu wa football waendelee kudadavua kwa sababu kwetu ni job done.

Point to note: ninaanza kupatwa na wasiwasi kuhusu mshambuliaji wetu Olivier Giroud kwa kushindwa kuweka mpira ndani ya nyavu baada ya kupata nafasi nyingi kama ilivyotokea kwa Chavs Jumatatu.

One a Gunner, Always a Gunner.
 
Duh! Dakika ya 36 lakini wenye nyumba hawapo?!?

#Hamjazoea tu?????

we kurupukurupu,sisi tunaangalia mpira kwanza ukiisha ndio tunakuja huku,ndio nyie ubishi umewajaa hata mpira haufatilii timu lako lilikuwa tia maji tia maji kule
 
we kurupukurupu,sisi tunaangalia mpira kwanza ukiisha ndio tunakuja huku,ndio nyie ubishi umewajaa hata mpira haufatilii timu lako lilikuwa tia maji tia maji kule

Hujitambui...nakusamehe bure....
 
Kuna mtabiri mmoja humu kama yule pweza paul alikuwa anakesha humu ndani ooh Arsenal wanarudi nafas ya 4 sasa sijui atasemaje kwa sasa naona kapotea, utabiri wake wa kipweza pweza sijui utaendelea au ndio mwisho any way Tusubiri Tuone kama atarudi tena.
 
BcbOf5JCEAA6J9t.jpg


Theo is back .... .... .. ..


article-2529369-1A4C7B8F00000578-583_636x382.jpg




article-2529369-1A4BB9A300000578-794_634x451.jpg


Yellow peril: Arsenal came from a goal down
to win at Upton Park on Boxing Day






article-2529369-1A4BAEA800000578-442_634x431.jpg

Brace yourself: Theo Walcott completes the Arsenal fightback
after scoring his second goal of the afternoon







article-2529369-1A4BACEB00000578-449_634x371.jpg


Back on terms: Theo Waclott's left-footed effort found
its way past West Ham goalkeeper Adrian




article-2529369-1A4BBA3F00000578-290_634x373.jpg



Job done: Podolski celebrates after scoring for the Gunners
- his first appearance since August


Man of the match Podolski ..... ..... patamu hapo ..... .....
 
West-Ham-v-Arsenal-Theo-Walcott-Kevin-Nolan_3057264.jpg



Theo .... ..... ...



  • West-Ham-v-Arsenal-Theo-Walcott_3057382.jpg

Theo Walcott's double turns the game around at Upton Park
as Arsenal charge into a 2-1 lead


West-Ham-v-Arsenal-Lukas-Podolski_3057391.jpg



Pod ... ..... Pod . .... .... ... Pod ... .. ...
 
Mi siku hizi nabishana na walio Top 4 mkuu....

Hao wa Top 10 sio size yangu......

Teh teh......

Majibu mazuri kutoka kwa mtu makini,Nakumbuka hata Wenger alishawahi kusema usiangalie anayeongoza ligi anafanya nini kama wewe uko kwenye nafasi za chini,wakumuangalia ni yule alie juu yako wewe kwenye msimamo ili umshushe na muhimu ni kushinda mechi zako ndio la msingi zaidi
 
we kurupukurupu,sisi tunaangalia mpira kwanza ukiisha ndio tunakuja huku,ndio nyie ubishi umewajaa hata mpira haufatilii timu lako lilikuwa tia maji tia maji kule

Ni kweli mkuu unatakiwa baada ya kuuangalia mpira ndio uje utoe mawazo yako sasa mpira unaendelea utauangalia vipi ili utoe hayo maoni ya mechi husika ?
 
we kurupukurupu,sisi tunaangalia mpira kwanza ukiisha ndio tunakuja huku,ndio nyie ubishi umewajaa hata mpira haufatilii timu lako lilikuwa tia maji tia maji kule

Hahahahahahaha wezee wa Kurupukurupu hahahahaha wana hasira hao mkuu utafikiri huku ndiko Moyes yupo.
 
Back
Top Bottom