Thanks Gunner.
We are still marching on. Mwendapole hajikwai na polepole ndiyo mwendo.
Tukutane tena kwa wazee wa Toon Army On Sunday, 29 December, 13:30 GMT at St. James' Park kutoa doze nyingine kama ilivyo jadi kwa sasa.
Tuwaache wasemaji waliojipachika utaalamu wa football waendelee kudadavua kwa sababu kwetu ni job done.
Point to note: ninaanza kupatwa na wasiwasi kuhusu mshambuliaji wetu Olivier Giroud kwa kushindwa kuweka mpira ndani ya nyavu baada ya kupata nafasi nyingi kama ilivyotokea kwa Chavs Jumatatu.
One a Gunner, Always a Gunner.