kwa hiyo unasemaje hater.
Don't take it seriously brother. Sorry kama comment yangu imekukwaza.I got trillion reasons not to hate goons.....
Don't go there please....
Otherwise you will make a mug out of yourself.....
#ManUnited
Naona uzi wako watu watatu tu.
Mmefufuka ama ndio #pretenders .....
Tupo tunafungua box mpaka sasa tupo vizuri...kuumi kwa ramsey kumesaidia timu kuamka.
Watu wapo bize kufungua mazawadi ya krismasi.Naona uzi wako watu watatu tu.
Watu wapo bize kufungua mazawadi ya krismasi.
Hahahahaha lol!!! #Mburukenge weye una moyo kweli, wenzio wote wameshasepa kimya kimya bila hata kuaga baada ya kuona karamu waliyotaka kuifanya kwenye jamvi letu haitakuwepo. By the way congratulations for a big win early today.
Mi siku hizi nabishana na walio Top 4 mkuu....Hahahahaha lol!!! #Mburukenge weye una moyo kweli, wenzio wote wameshasepa kimya kimya bila hata kuaga baada ya kuona karamu waliyotaka kuifanya kwenye jamvi letu haitakuwepo. By the way congratulations for a big win early today.
We're back on top...chezea walcot wewe