Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal wanajipanga vizuri na kila mara wanawafanya Newcastle kurudisha mipira nyuma.

Ni game zuri.
 
Timu kubwa gani haijachukua kombe miaka 8,Timu kubwa gani inafungwa goli 8,Timu kubwa gani haijawahi kuchukua UEFA Champions League .Kama umekosa cha kuandika bora ukae kimya

Haya basi timu kubwa ni Man u ndo maana inaongoza ligi na haijawahi kufungwa goli tano na kuendelea
Arsenal itakua vipi bora wakati inashika nafasi ya 6..?
 
Well done Jack Wilshere amejaribu shuti moja on target na inatoka nje.
 
Rosicky nae anajaribu shuti la pili on target na unakwenda moja kwa moja mikononi mwa Tim Crul
 
25 minutes na ushee Caz anafanya two mistakes, so far not at his best Rosicky kajaribu one shoot Jack kajaribu glorious pass missed Giroud not on the game as yet ... ... ... .... .... ...
 
Santiago Cazorla anajaribu shuti la tatu on target na Tim Crul anadaka.
 
sipendi kuweka dosari lakini kwa mchezo wa ref wanaochezesha gemu za Arsenal itachukuwa muda mrefu kwa Arsenal kuchukuwa ubingwa
 
Giroud kaumia sub must be done .... .... . he is not at his best and yellow card too, carz not his best game so far ...
 
Giroud kaumia sub must be done .... .... . he is not at his best and yellow card too, carz not his best game so far ...

Sawasawa mkuu,

Awali nidhani kwamba Goroud Ozil wote wanahitaji kupumzishwa maana wamechoka sana.
 
Haya basi timu kubwa ni Man u ndo maana inaongoza ligi na haijawahi kufungwa goli tano na kuendelea
Arsenal itakua vipi bora wakati inashika nafasi ya 6..?

Mwambie huyo ndugu yako aache kuropoka,kuongoza ligi ndio anajiita timu kubwa
 
Tulitegemea hii itakuwa mechi ngumu kwetu na hatua za dharura lazima zichukuliwe.

Kwanza Giroud atolewe na labda Arteta aingie badala ya Cazorla.
 
Back
Top Bottom