jong afrikaanse
JF-Expert Member
- Mar 17, 2013
- 675
- 998
gud thing is that, the more you hate me (arsenal) the more i speed up toward success COYG
Za uso anatakiwa akazitoe kwa Newcastle, southmpton au Everton humu kwa yeye si mahala pake.
nishasogea niko nyuma yako 5pts tu nafasi ya sita....sasa cheza upigwe kesho uone kama hujarudi nafasi ya tano baada ya wiki tatu....
Wakati timu kubwa zinacheza we nyamaza tu. Angalia mpira sio divers wa mashoga. ...... ...... ...... wacha fujo!
Timu kubwa gani haijachukua kombe miaka 8,Timu kubwa gani inafungwa goli 8,Timu kubwa gani haijawahi kuchukua UEFA Champions League .Kama umekosa cha kuandika bora ukae kimya
Wojciech Szczesny, Sagna, Per, Koscielny, Gibbs,Rosicky, Flamini, Wilshere, theo,Giroud na Santi .... .... Pod,Jenki, Fabiaski, arteta, Miyaichi, Bend wapo bench ... ..
Napenda kuona Wilshere akikabiliana na Cheick Tiote ambae anaziba nafasi ya Atim Ben Arfa ambae ana adhabu kutokana na kadi.
Jack Wishere lazima asimame kidete na apangue ngome ya Newcastle kwa ujuzi wote na sio kuanza kulalamika na kupoozesha mchezo apale atakapopigwa kiatu na Tiote.