Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Dakika ya 20
Man City 1-0 Arsenal
Man City 1-0 Arsenal
Jamani poleni Ndg ang Wa arsenal nilijua itakua ivyo
Naona TV yangu imekosea muda. Kwangu dk ya 22kwani mechi imeisha wewe? Ndio kwanza dakika ya 25....
Mpuuze tu huyo mkuu........kwani mechi imeisha wewe? Ndio kwanza dakika ya 25....
Jamani poleni Ndg ang Wa arsenal nilijua itakua ivyo
Naona TV yangu imekosea muda. Kwangu dk ya 22
Dalili za kufungwa hizo hahahahahahahaah!! Mkuu haijakosea muda mimi ndio nilikosea...
Tulia wewe mtoto Wa Liemba Mfipa usije ukaanza kuongea kifipa hapa Uko Etihad!
Pachele pang'anda!
Ni hatari pale langoni mwa Arsenal!
Aguero 1 arsenal 0
Dalili za kufungwa hizo hahahaha
Arsenal wanapata nafasi lkn Hawa watot hawajui wafanye nini!
Lalala ni hatari langoni mwa watoto!
Utajiju weye na presha yko!