Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

afc_v_barca_ucl.jpg
Hawa hawanipi presha hata kidogo.
 
Arsenal sio genge la wachezaji kama ilivyo Spurs, good chemistry of players ndo inatakiwa. Arsenal needs a 2nd striker, lakini sio lazima awe Higuain. Stop blaming, kama unampenda huyo jamaa watch Europa league. Kiwango kibovu sawa ila ujue kuna match za muhimu zaidi, keep cool man uje u-comment baada ya game ya Jmosi
 
Japo Tumefuzu but siyo siri kuna uwezekano wa kukutana na Beyern Munich, Barca au Real Madrid kitu ambacho kitasababisha hali kuwa tete.
 
tumequalify..hilo ndilo la msingi...opponents yeyote tutakabiliana nae

Umeona ee? Yaani hawa #MburuKenge hawana jema,..... Unakumbuka baada ya draw walisema #Arsenal haivuki group of death!

Sasa wameanza na ngonjera mpya....
Cant wait to see who will be paired against all England teams....maana mwisho wa yote baada ya 180mins ndio #MsemaKweli !
 
......to Qualify you need to be tested with the Best, ndio maana ikaitwa Champions League.
Tatizo watu wanaangalia Majina wanasema Group of Death sasa wamejionea wenyewe historia imewekwa na napoli kwa mara ya kwanza unafikisha 12 points halafu hawajaingia kwenye 16 bora,pili waangalie kundi tulilopita wawaangalie hao wapinzani tunaoweza kukutana nao mbona sijaona tofauti yoyote msimu uliopita Madrid katolewa na BMunich ambayo tuliifunga sisi uwanjani kwao,msimu huu tumeenda kushinda Kwa BvB kwao ambao waliwatoa Barca msimu uliopita Munich tumeshacheza nao msimu uliopita labda PSG,Atletico Madrid ambao hatujacheza nao lakini wengine wote tulishawahi kucheza nao
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Back
Top Bottom