Hongereni majirani!!!
Hahahaaaaah!Hongera kwa ushindi mburukenge karibuni OT mpate dozi yenu
Matokeo haya yanaifanya mechi yetu na MANUTD kuwa ya NUSU UWANJA na watapark TRENI LA MWAKYEMBE na kucheza kama walivyokuwa wana cheza CHELSEA walipochukua CHAMPIONS LEAGUE lakini haitawasaidia angalia BVB na wao jana wakawa wanakaa nyuma wanampelekea ndefu LEWANDOWSKI ili aweze kutafuta nafasi na ule ndio mpira ambao MANUTD wanautumia sana wanapokutana na ARSENAL,ila safari hii wajue team ya arsenal inaendelea kuwa imara kwenye sehemu ya mabeki na kiungo na ndio maana hata LIVERPOOL na BORUSSIA wameshindwa kupata GOLI tusubiri JUMAPILI KITAKACHOTOKEA ingawa nawapa asilimia kubwa ARSENAL kushinda kwa kuwa upande wa viungo ikiongezewa nguvu na FLAMINI naamini arsenal itashinda maana UGUMU ni kuwa MANUTD wanaikamia sana ARSENAL wanapokutana kwenye michuano yoyote ileWanachema bado hatujakutana na timu kubwa ..... .... .... khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Matokeo haya yanaifanya mechi yetu na MANUTD kuwa ya NUSU UWANJA na watapark TRENI LA MWAKYEMBE na kucheza kama walivyokuwa wana cheza CHELSEA walipochukua CHAMPIONS LEAGUE lakini haitawasaidia angalia BVB na wao jana wakawa wanakaa nyuma wanampelekea ndefu LEWANDOWSKI ili aweze kutafuta nafasi na ule ndio mpira ambao MANUTD wanautumia sana wanapokutana na ARSENAL,ila safari hii wajue team ya arsenal inaendelea kuwa imara kwenye sehemu ya mabeki na kiungo na ndio maana hata LIVERPOOL na BORUSSIA wameshindwa kupata GOLI tusubiri JUMAPILI KITAKACHOTOKEA ingawa nawapa asilimia kubwa ARSENAL kushinda kwa kuwa upande wa viungo ikiongezewa nguvu na FLAMINI naamini arsenal itashinda maana UGUMU ni kuwa MANUTD wanaikamia sana ARSENAL wanapokutana kwenye michuano yoyote ile
Sikumbuki mara ya mwisho arsenal kuifunga Man U ilikuwa lini. ..!!Ila nakumbuka Nasri aliwaua! !wakati yupo very very young
Hongera kwa ushindi mburukenge karibuni OT mpate dozi yenu
Kwa game ya jumapili aaaah wala msiwe na wasiwasi ingawa itaongeza gap kati yetu ila nitashabikia Arsen8...!!!!!
ile mechi Bayern walijua walishapita baada ya kushinda 3-1 emirates,kwahiyo kama unakumbuka 75% ya kikosi cha kwanza hakikucheza,na wengine eg Robben aliingia mwishoni,Ribery,Martinez,Lahm,Bastian,Muller,Alaba na wengineo hawakucheza,walikuwepo Dante,Mandzukic na baadhi walipuuzia waliwekeza nguvu ktk kutaka kubeba ligi nadhani kabla ya kucheza na Arsenal,sawa Ujerumani mnakuwa na rekodi na wao wanawafunga kwenu kuanzia Schalke 04,Bayern Munich na BVB,ila mnaweza kupita BVB naona anatoka ila siwaamini sana na wasiwasi na nyie kwanza j2 old trafford .umesahau tulifanya nini kwa Bayern....posh wa ujerumani...!? Ugenini tunakuwa wazuri mno.