Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

zp_187129755_SM_9330_D_9D3EC6C_7811.jpg



zp_187129755_SM_0245_9_9D3EC75_5637.jpg




zp_187129755_SM_0279_3_9D3EC70_2323.jpg



zp_187129755_SM_9282_C_9D3EC8A_6856.jpg



zp_187129755_SM_0317_9_9D3EC65_7302.jpg



Kama kawa Prof na Giroud wakiwa kwenye press conf. kabla ya mtanange
wa kukata na shoka kesho ... ..... .. COYG






We jamaa iyo identification yako nmeiona kweny group moja hv ya arsenal kule sura kitabu
 
dah...mech 2liofungw na hawa kenge nilipokelewa nyumban kwang na kundi kuwa la wana man u ambao ni majiran zang, leo nashangaa ni mke wangu 2 ananipokea, nahisi wanataman kusikuche.....hahahahahahahah sijui kama jumapili hawatahama mtaa kwel; nshaanza kuwa na wasiwasi wa kupoteza mmajiran msimu huu
 
#Mburukenge na #vimburu kimyaaaaaa..... kwa raha zetu walikuwa wanasubiri kufanya karamu kwenye uzi wetu wameondoka bila hata kuaga lol!!!!
 
dah...mech 2liofungw na hawa kenge nilipokelewa nyumban kwang na kundi kuwa la wana man u ambao ni majiran zang, leo nashangaa ni mke wangu 2 ananipokea, nahisi wanataman kusikuche.....hahahahahahahah sijui kama jumapili hawatahama mtaa kwel; nshaanza kuwa na wasiwasi wa kupoteza mmajiran msimu huu

Hahahahahahahaha hiyo hatari sanaa mkuu, kwamba Gunners wamesababisha mpaka uanze kupoteza majirani??
Hahahahahahahahahahaaaaaaaa!!
 
A huge confidence booster...tukiwachapa na wale MANU 3-1 Jumapili mbona itakuwa shida mtaani!? Hahahahaha lol!!!! #mburukenge hata kuchungulia hawatataka kabisa lol!!!
 
Back
Top Bottom