Mentor
Huyu jamaa sijui kwanini sio shetani wangu kwani kila nikiangalia Chelsea wakati wa RAFA ilikuwa nzuri kiuchezaji kuliko sasa
tuangalie mtanange leo, Sitokuwapo kutokana na majukumu ya kimaisha
Morinyo anaendelea kumnyanyasa Wenger......coyg!!!!
Morinyo anaendelea kumnyanyasa Wenger
Mkuu 2-0 inatosha kuwafunga midomo.
![]()
T5 atakuwepo uwanjani kesho kuwakabili mafioso ..... ....
![]()
![]()
The duo arrives at Colney ..... ..
![]()
Prof akiwaasa vijana .... .... ..
![]()
![]()
Mazoezi yaliwajumuisha chipukizi wa Gunners
![]()
![]()
![]()
Fabianski anategemea kuwa golini ..... ..
Chipukizi wa Gunners wapo tayari kukwaana na Wauza unga
kesho jioni mpira ni £10 tu kwa dogodogo asie na mwana aeleke jiwe .... ...
​BTW kijana machachari kutoka ujerumani ameongeza mkataba kwa miaka mitano ijayo .... .... ... guess who? ... .... ...
That is back-to-back home defeat.
the defeat hurt, bt i think we deserved it...
Ni sehemu pia ya Matokeo katika mchezo wa soka, so hatuna budi kukubaliana nayo,
and for now ts time to wait for the game againts Liverpool.
Their next fixtures are;
Vs Liverpool
Dortmund Vs
Man United Vs
Vs Southampton
Mkuu edit post yako isomeke "Their next defeats"
Watu wanaanza kulisusa jukwaa lao,wiki mbili zilizopita walikuwa wanajaa hapa,Kama kawaida mwisho atabaki Wacha1 na Balantanda