Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hahahahaa kimyaaaaaaa!!!!
Poleni sana. Msimu ndo kwanza umeanza na wote mmeingia mitini mlipoona mnacheza na timu kubwa.
Come on Loserfools YNWA
 
Their next fixtures are;

Vs Liverpool

Dortmund Vs

Man United Vs

Vs Southampton

Lets wait and see. Sisemi mengi. Mie nimeacha kuangalia mechi kwenye karai kwanza kama akina Excellent na Onenge.

Ila is a tough fixture just like what happned to man Utd.

Wakishindwa mechi tatu hapo, kuna uwezekano mkubwa wakaaga kombe moja.

Hata hivyo wanaweza kushinda mechi tatu lakini kuna uwezekano mkubwa wa mtu ku-LEWA-NDOO-YA-WHISKEY
 
Last edited by a moderator:
article-2479122-1910AA6500000578-422_634x452.jpg


Prof Arsene Wenger akisalimiana na manager wa Chelsick




article-2479122-1910AD3E00000578-307_634x433.jpg


Close call: Mark Schwarzer (right) stands firm
as Arsenal's Ryo Miyaichi (left) lifts the ball over him



article-2479122-1910A25300000578-656_634x449.jpg

Toe to toe: Tomas Rosicky (right) tries to nick the ball away





article-2479122-1910B7C000000578-299_634x469.jpg


Back in the game: Nicklas Bendtner (right) was given the nod
ahead of in-form striker Olivier Giroud





article-2479122-1910DC6500000578-75_634x526.jpg

T5 alikuwepo .... ...


article-2479122-1911336500000578-63_634x480.jpg



Santi back in action .... ...



article-2479122-191127C000000578-577_634x507.jpg

Real love: Ozil and Chelsick manager were together in Madrid





article-2479122-1911226200000578-861_634x463.jpg

Manager wa chelsick kaambulia Jezi la Ozil's shirt
Kalitamani kamwambia amtafutie lingine ..... ..



article-2479122-1911270100000578-372_634x407.jpg


Prof alikuwepo kwenye touch line .... ....

 
Hahahahahahahahaha....mimi la kusema sina wapendwa kant wait to get on my laptop in the morning...

Khekhekhekhekhekhekhekhekhekhekhe....lazima ukae! #teamChelsea #CFCLive
 
Watu wanaanza kulisusa jukwaa lao,wiki mbili zilizopita walikuwa wanajaa hapa,Kama kawaida mwisho atabaki Wacha1 na Balantanda

Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee kama ni hivyo mngekuja kupiga filimbi hapa .. .... ... .. wivu tu unawasumbua chichi hatuna wasi wasi tena inaeleweka kombe la mbuzi is not our target ndio sababu prof anawachezesha chipukizi ..... ...... . ... cost ya timu yenu £more than 100 million walioanza mtanange wakati chichi 30 million. Anzeni kuchema chacha maana mlikuwa mmeingia mitini kwa miezi 3, mwaka huu mtakonda na Gunners na mnatuota kila usiku khe khe khe khe khe heeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Vipi wale diver wenu mmewarudisha?
 
article-0-190F7F3800000578-772_634x424.jpg

Back in training: Lukas Podolski is closing in on a return
... ..... .... .... ..


Chipukizi wa Gunners hawakufua dafu kwa wauza unga ..... .... ...... .... ingawaje refa kawasaidia sana, malipo yanawachubiri kwenye mtanange wa kwenye EPL mburukenge walioibuka hawatusumbui tumepoteza mechi lakini tumepunguza tight fixtures.




Hahahahaaaa eti chipukizi wa gunners!
Then,
Refa kasaidia, heheheheehheeheeeeeee
Halafu,
Eti mmepunguza tight fixtures, kwani mnaingia kushiriki au kushindana.
 
Hahahahaaaa eti chipukizi wa gunners!
Then​
Refa kasaidia, heheheheehheeheeeeeee
Halafu​
Eti mmepunguza tight fixtures, kwani mnaingia kushiriki au kushindana.


Kwenu hamna chakula naona umekuja kuwanga tu huku kama kweli nyie timu kubwa kwa nini mje kuwanga kwenye jukwaa la Gunners? Gunners we lead others follow ... .... ... khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Wivu wa kike tu unawachumbua na jukwaa hili mnataka kulifunga kama mlivyofanya
'New Era at the Emirates' Phew! Mtakonda tu mwaka huu .... .....

BTW huwa tunaingia kuuza unga khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Wacha,

Unaona haya Benchi lenu nyanya?

Camerlengo usiwe na wasi wasi na chichi angalia timu yako .... .... mnashinda kwa bahati nasibu ndio chababu hampo kileleni kwenye EPL khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Wacha na na hao Mentor ing I d i o t s muda si mrefu watarejea Kibera licha ya hawa peas of ants waliozagaa kama nzige.
 
article-2479122-1910AA6500000578-422_634x452.jpg


Prof Arsene Wenger akisalimiana na manager wa Chelsick




article-2479122-1910AD3E00000578-307_634x433.jpg


Close call: Mark Schwarzer (right) stands firm
as Arsenal's Ryo Miyaichi (left) lifts the ball over him



article-2479122-1910A25300000578-656_634x449.jpg

Toe to toe: Tomas Rosicky (right) tries to nick the ball away





article-2479122-1910B7C000000578-299_634x469.jpg


Back in the game: Nicklas Bendtner (right) was given the nod
ahead of in-form striker Olivier Giroud





article-2479122-1910DC6500000578-75_634x526.jpg

T5 alikuwepo .... ...


article-2479122-1911336500000578-63_634x480.jpg



Santi back in action .... ...



article-2479122-191127C000000578-577_634x507.jpg

Real love: Ozil and Chelsick manager were together in Madrid





article-2479122-1911226200000578-861_634x463.jpg

Manager wa chelsick kaambulia Jezi la Ozil's shirt
Kalitamani kamwambia amtafutie lingine ..... ..



article-2479122-1911270100000578-372_634x407.jpg


Prof alikuwepo kwenye touch line .... ....


Naona kuna picha nyingine kwenye hiyo link probably umezioverlook...

article-2479122-191102D800000578-191_634x448.jpg

article-2479122-1911244300000578-978_634x465.jpg


Mata akiwafunga Gunners kwa mguu wake mbovu wa kulia.

article-2479122-1910E04400000578-979_634x414.jpg
article-2479122-1910B62200000578-724_634x535.jpg


Hapa kuna beki wa Gunner alijidai kufanya yale ya Nastasic yakamkuta.

article-2479122-1910B72000000578-55_634x467.jpg


Kwa Arsenal inawezekana hata kama Drogba haupo

article-2479122-191116C200000578-14_634x388.jpg


Oh Dear! Not again

article-2479122-19111E4100000578-866_634x415.jpg


Mata's heat at the Emirate Stadium tonight.

article-2479122-19112EDF00000578-72_634x410.jpg


Picking the ball from the net kwa mara ya pili.

article-2479122-1911327500000578-688_634x535.jpg


Anyone fancy having this before the next fixtures?






 
Naona kuna picha nyingine kwenye hiyo link probably umezioverlook..

Thats the problem, even at school you can see how you performed .. ..... ..... ... it is clearly stated hili ni jukwaa la Gunners chacha maloloso ya Mafioso yanahusiana nini na Gunners chi uwapelekee kwenye jukwaa lao. Phew! How do you wannna be educated!
 
Thats the problem, even at school you can see how you performed .. ..... ..... ... it is clearly stated hili ni jukwaa la Gunners chacha maloloso ya Mafioso yanahusiana nini na Gunners chi uwapelekee kwenye jukwaa lao. Phew! How do you wannna be educated!

kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.

Huyu Chipkizi nae nipeleke jukwaa la Chelsiki?




article-2479122-19112EDF00000578-72_634x410.jpg
 
kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.

Huyu Chipkizi nae nipeleke jukwaa la Chelsiki?

Absolutely.

Do you know the meaning of a Forum? Kuna sub folders etc and people can comment or contribute to what they feel or think is fit for that purpose. You can not fault another member for not mentioning your interests. Its a free world were we dare talk openly .... .... ... oooops not at JF anymore ... .... God help me.

BTW Kama hujipendi nenda kawacheme vibaya mafioso uone cha ntema kuni. Hizi chuki binafsi walizonazo kina peas of ants na invisible Mungiki brother are well documented, usione mentor i n g I d i o t s haguswi au Inzi amekuwa miaka yote hii wakati maisha yake hayazidi chiku 7 ..... ... khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Absolutely.

Do you know the meaning of a Forum? Kuna sub folders etc and people can comment or contribute to what they feel or think is fit for that purpose. You can not fault another member for not mentioning your interests. Its a free world were we dare talk openly .... .... ... oooops not at JF anymore ... .... God help me.


Huyu ni chipkizi wa Asenali bana na hapa ni mahali pake stahiki. Isitoshe ilikuwa ni mechi inayowahusi Asenali.


BTW Kama hujipendi nenda kawacheme vibaya mafioso uone cha ntema kuni. Hizi chuki binafsi walizonazo kina
peas of ants na invisible Mungiki brother are well documented, usione mentor i n g I d i o t s haguswi au Inzi amekuwa miaka yote hii wakati maisha yake hayazidi chiku 7 ..... ... khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Hao chuki zao binafsi ni zao binafsi. Mie simo kwenye chuki zao binafsi.
 
huyu jamaa ana bahati kwani hata Real aliharibu na hapo haitochukuwa muda mrefu haifiki misimu miwili utamuona atakavyofanya
Wengi hawampendi huyu jamaa, wanamwona kama shetani, maana akiwepo wanajua wazi kuwa ni ngumu sana kuifunga Chelsea.

Wapinzani wa Chelsea wangependa sana Rafa aendelee kuwa kocha ili aifanye timu iwe kama Liverpool.

Bora uliaga mapema kabisa.
 
Back
Top Bottom