Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Watakuwa wanakutania tu Mkuu lakini hawana chuki yoyote ile zaidi ya utani tu wa kufurahisha jamvi....Usiache kuandika banaaa kwenye mkeka wetu.

Kuna watu wanachukia chifu...hawajui kama soka ni mchezo wa utani na ushabiki...bila hilo hakuna utamu wa soka....

Hivyo ni kheri niwape amani kwenye jukwaa lao....
 
Tutawachapa tu 3-2 na kuongeza muweweseko wenu, siku hiyo Walcott atakuwa available katika juhudi za kuipenya ngome yenu ili kuziona nyavu.

Poa chifu.....

Ila Nov. 10 inabidi mje kamili...

Siku/usiku mwema....
 
Tutawachapa tu 3-2 na kuongeza muweweseko wenu, siku hiyo Walcott atakuwa available katika juhudi za kuipenya ngome yenu ili kuziona nyavu.

Poa tuombe uzima tu chifu.....
 
  • Thanks
Reactions: BAK
nzi amefufuka leo!!!!!
bahati yenu leo yule coach mwambieni jinsi ya kupanga timu, leo nahisi kama alipangiwa na SAF
 
Kuna watu wanachukia mimi kupost humu...hivyo kuanzia leo hutaona nimepost humu kwenye kijitimu kidogo cha pale London.....
Utake usitake uta-post tu!hongera wewe unayefungwa na timu kubwa kuliko Arsenal.
 
Kuna watu wanachukia mimi kupost humu...hivyo kuanzia leo hutaona nimepost humu kwenye kijitimu kidogo cha pale London.....

.......aaaaa banaaaaa, ushaanza vijisababu sasa......
Au nawe ndio ushakubali #hatushikiki kama mkuu Peasant?

Jamaa alikuwa #bandikabandua humu!
Usikimbie banaa.... Subiria japo mpaka #BoxingDay ....
 
Last edited by a moderator:
zp_15_Ozil-2_9370.jpg




Crystal-Palace-v-Arsenal--005.jpg


Ozil anacheza ingawa iko gonjwa kidogo chubiri apone kabisa ...... ...... ..... ... wakuu wa Gunners kwa mpigo hongereni na mwendeleo wa vijana, naona mambo siyo mabaya tunawachubiri mafioso J4 kwenye kikombe cha mbuzi pale Emirates .... ...... ...
 
.......aaaaa banaaaaa, ushaanza vijisababu sasa......
Au nawe ndio ushakubali #hatushikiki kama mkuu Peasant?

Jamaa alikuwa #bandikabandua humu!
Usikimbie banaa.... Subiria japo mpaka #BoxingDay ....




Hahahaha ok chief! Hongereni sana naona mnamalizia mechi zenu dhidi ya timu zilizo bottom half of the table vizuri. Kazi kwenu mtakapoanza kukutana na timu kutoka top half of the table.
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha ok chief! Hongereni sana naona mnamalizia mechi zenu dhidi ya timu zilizo bottom half of the table vizuri. Kazi kwenu mtakapoanza kukutana na timu kutoka top half of the table.

Sisi wenyewe tuko juu ya hiyo top 4,je unakuwa na cha kuhofia?
 
gun__1382966305_vermaelen_training.jpg



T5 atakuwepo uwanjani kesho kuwakabili mafioso ..... ....




zp_185936388_SM_1068_7_9D30DD1_4263.jpg




zp_185936388_SM_5261_8_9D30DD4_9076.jpg


The duo arrives at Colney ..... ..



zp_185936388_SM_5299_4_9D30DD7_7732.jpg




Prof akiwaasa vijana .... .... ..



zp_185936388_SM_5364_B_9D30DDE_6713.jpg




zp_185936388_SM_5479_2_9D30DE4_8099.jpg


Mazoezi yaliwajumuisha chipukizi wa Gunners


zp_185936388_SM_5543_3_9D30DE6_7550.jpg






zp_185936388_SM_5617_9_9D30DF1_6499.jpg




zp_185936388_SM_5643_1_9D30DF7_6899.jpg


Fabianski anategemea kuwa golini ..... ..



Chipukizi wa Gunners wapo tayari kukwaana na Wauza unga
kesho jioni mpira ni £10 tu kwa dogodogo asie na mwana aeleke jiwe .... ...



​BTW kijana machachari kutoka ujerumani ameongeza mkataba kwa miaka mitano ijayo .... .... ... guess who? ... .... ...
 
Mentor
Huyu jamaa sijui kwanini sio shetani wangu kwani kila nikiangalia Chelsea wakati wa RAFA ilikuwa nzuri kiuchezaji kuliko sasa
tuangalie mtanange leo,
Sitokuwapo kutokana na majukumu ya kimaisha


Utashtuka mkuu!!!
 
Back
Top Bottom