BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Watakuwa wanakutania tu Mkuu lakini hawana chuki yoyote ile zaidi ya utani tu wa kufurahisha jamvi....Usiache kuandika banaaa kwenye mkeka wetu.
Kuna watu wanachukia chifu...hawajui kama soka ni mchezo wa utani na ushabiki...bila hilo hakuna utamu wa soka....
Hivyo ni kheri niwape amani kwenye jukwaa lao....