Wandugu Masanja
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 1,584
- 553
Belo rudi nyumbani kule ukazime moto wa majanga sisi tutakusaidia majamvi na matanga
nakuuliza tena vipi mutatoka leo?
nakuuliza tena vipi mutatoka leo?
Update
22.10.13 - Champions League: Arsenal 1 v B. Dortmund 2
26.10.13 - EPL: C.Palace 0 v Arsenal 2
Utuwekee na ya Man Utd Vs Stoke basi....Na-update angalia vizuri hiyo post nimequote kwa Gunner mwenzio
mzee wa kuweka nyavuni kwa kichwa,kudadeki thanks God Man U wasiposhuka daraja mwaka huuUtuwekee na ya Man Utd Vs Stoke basi....
Chezea Peter Crouch wewe
kwa kudra za Mwenyenzi Mungu imepatikana la mwisho.
hamjakutana na chelsea,man u,man city,chelsea,liverpool...sahau kuwa kileleni
kwa kudra za Mwenyenzi Mungu imepatikana la mwisho.
hamjakutana na chelsea,man u,man city,chelsea,liverpool...sahau kuwa kileleni
Hapana,sema unadanganya mkuu!hahahaaah!dakika 3.
ManEverton 0 -1 Stoke city
Hapana,sema unadanganya mkuu!hahahaaah!
Mhhhh! Wandugu Masanja hana kawaida hiyo.
kwa kudra za Mwenyenzi Mungu imepatikana la mwisho.
hamjakutana na chelsea,man u,man city,chelsea,liverpool...sahau kuwa kileleni
Kwa heshima yako mkuu natekeleza maagizo yakoUtuwekee na ya Man Utd Vs Stoke basi....
Chezea Peter Crouch wewe
Hahaaaaa...............Hongereni sana, sema bandiko lako hili hapa chini linaonesha ni jinsi gani usivyoiamini timu yako.....Kwa heshima yako mkuu natekeleza maagizo yako
Manu 3 Stoke City 2
Hii mechi tusipoangalia nayo itakuwa ngumu hawa Stoke tangu Pulis aondoke wanacheza vizuri sana
Kuna watu wanachukia mimi kupost humu...hivyo kuanzia leo hutaona nimepost humu kwenye kijitimu kidogo cha pale London.....
Usiache kupost banaaaa....Acha kususa susa Mkuu haihuuuuu kitu...Mie hufurahia sana ukipost hapa maskani kwetu.