M.E.M.A
JF-Expert Member
- Jul 27, 2013
- 1,373
- 472
Tunakumbuka ndio ila leo kazidi.
Huyu hovyo kweli. Kaniboa ilibaki kidogo nimtoe kwenye tv.
Tunakumbuka ndio ila leo kazidi.
Nenda zako.Boring thread...moving to Ac Milan vs. Juventus and Marseille vs. PSG
Nenda zako.
Chifu...hasira za nini?!? Huu ni mchezo tu...mnaweweseka na droo tu...mkifungwa nyiye si mtaanza habari za #WengerOut ..
Hatujazoea ndio maana, mechi tano mfululizo za ligi tunatoa kipondo,
Ndio maana jiná lako Nzi, maana kazi ya Nzi inajulikana, na makazi yake chooni, unatafuta nini huku.
Jamani,mwacheni nzi afurahie sie ku-draw na WBA,manake kila weekend akija uzi huu anakuta watu wanajiramba tu!Nowadays gunners kutoa draw ni sawa na kufungwa...kiungo chetu kinahitaji addition ya mtu dirty kama STEVEN NZONZI tena wa bei rahisi tu amini nawaambia!Hatujazoea ndio maana, mechi tano mfululizo za ligi tunatoa kipondo, na usisahau ni hawa hawa jamaa walikufunza adabu tena Trafford. Ndio maana jiná lako Nzi, maana kazi ya Nzi inajulikana, na makazi yake chooni, unatafuta nini huku.
Anayejijua hayupo big 4 hapa aondoke,
kidogo yule mwenye sifa ya europe league tutamfikiria!
Jamani,mwacheni nzi afurahie sie ku-draw na WBA,manake kila weekend akija uzi huu anakuta watu wanajiramba tu!Nowadays gunners kutoa draw ni sawa na kufungwa...
kiungo chetu kinahitaji addition ya mtu dirty kama STEVEN NZONZI tena wa bei rahisi tu amini nawaambia!
Subirini mwezi may kama hamjaficha jezi zenu hua ni wepesi WA kusahau...arsenal yenu hii ubingwa bado mtauota miaka mingi ijayo.
Unafurahia kuwa big 4?!?
Angalia hapa wewe kiazi...
http://uk.teensdigest.com/articles/170?page=9
niangalie nini sasa?kumbe inauma eeenh!na bado,aliyekupiga kwako tumemtia jambajamba kwake!
Moto umewaka huo na bila ya a.villa sasa hv historia ingejirudia,tungevunja rekodi yetu wenyewe ambayo kihande kama wewe hujawahi ota kuifikia maishani mwako msimu mzima bila kufungwa