Hayo ni maneno tu ya kisiasa kwenye mpira (Football Politics) kocha anaweza kudanganya kuwa timu yake haifai na kuwaaminisha maadau hivyo kumbe tofauti
kwa hiyo wewe kwa akili yako matokeo yanayoendelea kwa Manure ni football politics?? Duuh watu wengine bhana kusoma hamjui hata picha hamuoni??
Kigezo ni kuongoza league mpaka sasa hiyo ni moja ya sababu tosha ya kuwaonyesha wapinzani wetu kuwa tunamaanisha kuwa msimu huu tuko serious na makombe
Kwani ni Mwaka Huu ndio mmepata nafasi ya kuongoza?
Hiyo ni kawaida yenu! Mtaanza kumlaumu babu yenu muda so mrefu!
Kwani ni Mwaka Huu ndio mmepata nafasi ya kuongoza?
Hiyo ni kawaida yenu! Mtaanza kumlaumu babu yenu muda so mrefu!
Eti Mzee Wenger anasema msimu Huu watachukua ubingwa!
Kwa vigezo gani anatumia huyu mzee?
tofaut na miaka mingine, haijawah tokea arsenal kuwa na matokeo mazur wakiwa na majeruhi weng first team kama mwaka huu
kwani wewe umeandika povu hili kwa kigezo gani?
tofaut na miaka mingine, haijawah tokea arsenal kuwa na matokeo mazur wakiwa na majeruhi weng first team kama mwaka huu
Tukubaliane ya kuwa premier league ya msimu huu ni ngumu kuliko za miaka iliyopita na kama umeangalia kinachompa wenger jeuri ni kumpata Flamini ambae anafanya kazi kubwa ya kuzuia mashambulizi ya maadui angalia timu zilivyojiimarisha kwenye vikosi vyao sema tatizo lao wanatakiwa kukaa kama mwaka kujuana vyema wakati arsenal wameingiza wachezaji kama wawili ambao hawahitaji muda kuzoeana hiyo nayo ni sababu kubwa kwa kuonekana bado tupo bora mpaka sasa
Kua na Flamini tu haitoshi kusema kikosi kikosawa na Pia wewe mwenyewe unasema ligi ngumu inakuaje muanze kuota ubingwa kwa kuongoza ligi kwa muda mfupi hivi?