Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

kuna watu humu ndani utafikiri timu zao hazina thread au hazichezi UCL leo ila kutwa kuja kujishebedua kwenye thread ya Arsenal wakati thread hii maudhui,madhumuni na mantiki yapo post n0 1 kati ya posts 27909 zilizomo humu inayosema
Jamani humu ndani tutadiscuss klabu yetu ya Arsenal na kubadilishana mawazo jinsi gani tunavyoendelea.soo nyie wengine nendeni kwenu mkasifie timu zenu na sio kutujaziaupuuzi wenu

Mkuki mchungu enh! Tulia upate dozi dogo....
 
kuna watu humu ndani utafikiri timu zao hazina thread au hazichezi UCL leo ila kutwa kuja kujishebedua kwenye thread ya Arsenal wakati thread hii maudhui,madhumuni na mantiki yapo post n0 1 kati ya posts 27909 zilizomo humu inayosema
Jamani humu ndani tutadiscuss klabu yetu ya Arsenal na kubadilishana mawazo jinsi gani tunavyoendelea.soo nyie wengine nendeni kwenu mkasifie timu zenu na sio kutujaziaupuuzi wenu
chamakh
Unaonekana wewe ni mgeni kwenye majukwaa ya football hapa Jamiiforums,karibu
 
Last edited by a moderator:
Nipo Napoli kwa mkopo ha ha ha ha ha Wacha1 kwisa kimbia jumba.
 
Last edited by a moderator:
.... Nzi na Belo, asanteni kwa bench- warming hapa.

Bring on #Napoli ! COYG!!!
 
Last edited by a moderator:
RVP alicheza hapo misimu 8 hakuambulia kitu,kaja Manu msimu mmoja kashachukua EPL while hakuna hata mchezaji mmoja wa Arsenal aliyechukua EPL kwenye kikosi chenu.Tunawasubiri wengine ukame ukizidi watakuja wenyewe
Ilikuwa enzi za fergie mkuu but not now,RVP mwenyewe alivutiwa na sera za ku-win it in an ugly way za kibabu fergie lakini si kwa huyu moyes,kazi mnayo!
 
Ozil /Oʊzil/ verb ~(sb) (in/with sth) to
help somebody do something. To
assist . » Students be like "I will ozil u
with ur assignment
 
Back
Top Bottom