Tatizo mashabiki wanataka Arsenal ifungwe ili wafurahi sasa wakati kwenye UEFA timu za England yaani zinazotoka Premier League zitakapofanya vibaya ni kwamba wanapunguza idadi ya timu kama zilikuwa nne zinakuwa Tatu kama zamani sasa tuangalie sana kuleta upenzi wakati tunacheza UEFA mimi nadhani ni kuangalia mechi basi upinzani tukikutana EPL huko ndio kwa kuchekana,acha sasa na sisi tuonje RAHA ya miaka 8 ya kujijenga sasa tunakula mavuno 1. Uwanja wa Emirates 2. Tuna fedha ya kununua mchezaji kama 0zil 3. Mazingira yamekuwa mazuri ya kuvutia wachezaji wenye majina wanaocheza kiwango cha kimataifa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.