Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kuna tundu kubwa linavujisha points Mkuu Nzi katika mechi 6 ambazo kama mngeshinda zote basi mngekuwa na points 18 lakini mmeambulia 7 points only na 11 points zimeshavuja tena baadhi ya mechi ambazo mlistahili kabisa kushinda. More yes/More no ni tatizo bahati nzuri limeonekana mapema. Nimeangalia mechi nyingi sana za MANU na miaka yote wacheza walikuwa na confidence ya hali ya juu, lakini mwaka huu siioni confidence hiyo wanakuwa wanajishuku mara nyingi tu, labda siku za usoni halii hii haitakuwepo vinginevyo ni tatizo kubwa sana katika performance ya timu katika mechi yoyote ile.

Kwa hiyo kwa vile shugadad wenu kasema ana imani na Arsene Chenga, ina maana ule mpango wa kujiuzulu akishindwa kuchukua kombe lolote (including Capital One Cup) umekufa? Kheeee kheeee kheeee kheeee kheeee kheeee kheeee...

BTW: Wewe BAK ebu kuja uone jinsi tajiri alivyo na mapenzi na kocha; hivyo kelele zenu nyiye kama mashabiki hata akikosa kikombe cha Capital One, hazitokuwa na maana. Mwenye timu anampenda kocha bana; washabiki kitu gani?? Kheeee kheeee kheeee kheeee kheeee kheeee kheeee...
 
Last edited by a moderator:
Kwa hiyo kwa vile shugadad wenu kasema ana imani na Arsene Chenga, ina maana ule mpango wa kujiuzulu akishindwa kuchukua kombe lolote (including Capital One Cup) umekufa? Kheeee kheeee kheeee kheeee kheeee kheeee kheeee...

BTW: Wewe BAK ebu kuja uone jinsi tajiri alivyo na mapenzi na kocha; hivyo kelele zenu nyiye kama mashabiki hata akikosa kikombe cha Capital One, hazitokuwa na maana. Mwenye timu anampenda kocha bana; washabiki kitu gani?? Kheeee kheeee kheeee kheeee kheeee kheeee kheeee...

hahahahahahahahaha Nziiiiiiii! Vip kuhusu wale akina sir elton John wa kimarekani bado wana imani na Moyos?
Hahahahahahahahaha
 
Last edited by a moderator:
hahahahahahahahaha Nziiiiiiii! Vip kuhusu wale akina sir elton John wa kimarekani bado wana imani na Moyos?
Hahahahahahahahaha

Boardroom ya United bado ina imani kubwa sana na David Moyes kama walivyo mashabiki wa ukweli wa United. Mashabiki maandazi na waliozoea raha siku zote, ndiyo hao unaowasikia wakipiga kelele....mtu aliyepewa mkataba wa miaka 6 katika timu kubwa kama United hawezi kuwa judged based on 6 games. Hiyo siyo tradition ya United.
 
Boardroom ya United bado ina imani kubwa sana na David Moyes kama walivyo mashabiki wa ukweli wa United. Mashabiki maandazi na waliozoea raha siku zote, ndiyo hao unaowasikia wakipiga kelele....mtu aliyepewa mkataba wa miaka 6 katika timu kubwa kama United hawezi kuwa judged based on 6 games. Hiyo siyo tradition ya United.

haya mkuu endeleen kuwa wavumilivu na benchi lenu la ufundi la everton.
Naona siku hizi man u wakipata goal washabiiki wanashangilia goal! Na siyo goooaaaaaaaal! Kama ilivyokuwa zaman.
hahahahahahahahahahahahahaha.
 
Wacha1 ww ndio swahiba wa kweli hasa watu wa humu wale jamaa wa old Trafford kwa the chosen one hawataki kututumia picha Kule kop hata la goli la Sunderland Leo hawataki wakati ni mabingwa wa kurusha picha wale wamemtuma Howard Webb mpaka Sunderland duh! Waambie watizame table haimuzi macho jamani.
 
haya mkuu endeleen kuwa wavumilivu na benchi lenu la ufundi la everton.
Naona siku hizi man u wakipata goal washabiiki wanashangilia goal! Na siyo goooaaaaaaaal! Kama ilivyokuwa zaman.
hahahahahahahahahahahahahaha.

Sawa...na benchi lenu la ufundi la Arsenal...
 
Wacha1 ww ndio swahiba wa kweli hasa watu wa humu wale jamaa wa old Trafford kwa the chosen one hawataki kututumia picha Kule kop hata la goli la Sunderland Leo hawataki wakati ni mabingwa wa kurusha picha wale wamemtuma Howard Webb mpaka Sunderland duh! Waambie watizame table haimuzi macho jamani.

Tunatupia fotoz kwa mechi zinazotuhusu. Sasa game ya Liverpool na Sunderland ilikuwa haina maslahi kwa United!! Anyway hongereni kwa kushika nafasi ya 2!! Mafanikio makubwa sana kwa Liverpool!
 
Tunatupia fotoz kwa mechi zinazotuhusu. Sasa game ya Liverpool na Sunderland ilikuwa haina maslahi kwa United!! Anyway hongereni kwa kushika nafasi ya 2!! Mafanikio makubwa sana kwa Liverpool!
Wacha wivu wa kike wewe. Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
.......hahahaha, umemuona ee? Huyu Rossoneri na mwenzake Gang Chomba lazima wanakaji element ka ushabiki wa Spurs hawa....
Haiwi wao machungu yao ni Arsenal tu....

Huenda ushabiki wao wa Spurs ulipungua au kufa baada ya Era ya kina Lineker, Gazza, hoddle et al....


1. Azurri
2. Rossonelli
3. Yanga
4. Abajalo...

full stop...
 
Last edited by a moderator:
Nadhani kwa uelewa wangu mdogo ManUtd hawana matatizo makubwa sana,mabeki kama Ferdinand wameshakuwa watu wazima hawaendi na kasi ya vijana ndio maana anahitaji beki mwingine na kiungo wa ulinzi kama Flamini
 
Moyes analalamika hana world class players .. Aje goners tumpe diaby na miyachi kwa mkopo tuokoe jahazi ...

Atafute beki na kiungo wa ukabaji aone kama atafugwa hovyo kama ameangalia Arsenal ikizidiwa sehemu ya kiungo Monreal anaingia kuongeza nguvu
 
Moyes analalamika hana world class players .. Aje goners tumpe diaby na miyachi kwa mkopo tuokoe jahazi ...
Hahahaaaaaa,babu alizoea kubebwa na FA/marefa,wachezaji si ni hao hao toka misimu 3 illiyopita??
 
Hahahaaaaaa,babu alizoea kubebwa na FA/marefa,wachezaji si ni hao hao toka misimu 3 illiyopita??

Atafute beki na kiungo wa ukabaji aone kama atafugwa hovyo kama ameangalia Arsenal ikizidiwa sehemu ya kiungo Monreal anaingia kuongeza nguvu

Hawa Manure naona kama hawajielewi vile.....

24ookyd.jpg
 
Moyes analalamika hana world class players .. Aje goners tumpe diaby na miyachi kwa mkopo tuokoe jahazi ...

Hao world class players wako wamekuwezesha kutetea ubingwa wako kwa miaka 8 sasa
 
Hao world class players wako wamekuwezesha kutetea ubingwa wako kwa miaka 8 sasa

Hahaha kwani hiyo mnajali mbona van Persie mmemchukuwa ... Njooni mkope diaby na miyachi ... At list mtamaliza top 15
 
Hahaha kwani hiyo mnajali mbona van Persie mmemchukuwa ... Njooni mkope diaby na miyachi ... At list mtamaliza top 15

RvP alikimbia ukame wa makombe kama walivyofanya Cesc, Nasri, Clichy, Song na Titi. Na kama watakavyokimbia Ramsey na Jack. Hawa tutawanunua mwakani.
 
Back
Top Bottom