Ukiona manyoya......Jua kaliwa....
Hongera Gunners.....
Poor Jose....Naona daraja linazidi kuzama....
Mwaka wa shetani.....
Hao wa darajani wamenywea hawana la kuongea hivi sasa.Balantanda vipi bado unasikiliza ya darajani? shauri yako ukae tayari kwa mawe utakayorushiwa
mkuu kwani usajili hujaufatilia?mbona wamemchukua kipa namba mbili wa timu ya taifa ya italy-VIVIANO
Mathieu Flamini.......
Bonge la middle hili......
Hao wa darajani wamenywea hawana la kuongea hivi sasa.
Sasa hivi the Special One anapewa kila aina ya jina baya...ahaaaaa Ngoma ikivuma sana ujue inakaribia kupasuka.Mourihno hana jipya kwa sasa.
Kwa Depth ya kikosi cha Chelsea huwezi kupoteza mechi kirahisi hivi...
Strikers watatu wenye ubora wa juu,Viungo wa kutosha.
JE UNGEPEWA TIMU KAMA ARSENAL YENYE MAJERUHI NUSU YA TIMU????? Lazima angeshuka daraja......
At least he had 2 champions league silverwares under his belt. Wenger has ZERO
![]()
jana daraja lilivunjwa na mainjinia kutoka uturuki....cheki 'ze bad one' alivyonuna!!
Mimi ni shabiki mkubwa wa MAN U lakini leo ARSENAL wamenikosha sana. Hongera sana ARSENAL kwa ushindi ugenini. Na kwa ushindi huu Arsenal itazidi kuimarika sana.
Arsenal are pretenders and not contenders
Arsenal are pretenders and not contenders
*Switzerland
Arsenal are pretenders and not contenders