Ukiona manyoya......Jua kaliwa....
Hongera Gunners.....
Poor Jose....Naona daraja linazidi kuzama....
Mwaka wa shetani.....
Bado w.end kuna London derby na Fulham wanachezea tena kichapo!!!Na bado watakoma mechi ya pili wanakung'utwa naona mambo mazuri tu pale kwenye cowshed. Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Ukiona manyoya......Jua kaliwa....
Hongera Gunners.....
Poor Jose....Naona daraja linazidi kuzama....
Mwaka wa shetani.....
mkuu nakumbuka ulivyokuwa unalalamika RAMSEY akicheza nahisi hiyo imeisha swaiba..now you like him..nakuhakikishia hatokaa benchi kwa form hii na habari njema kwetu na ametu prove wrong so far...game 7 mpaka sasa amekuwa man of the match mara 4, amefunga magoli 6....ndugu ebu appreciate basi nifurahi
COYG!
Wakuu mambo yanakwenda mshindo na tunawasubiri Napoli Emirates baada ya wiki mbili.
Hizi ni mechi ya 6 tunashinda baada ya makosa tuliyofanya tulipocheza na Aston Villa.
Ila Giroud kaumia lakini wanasema wanamchunguza goti lake.
Lakini sidhani kama Stamford Bridge kuna crisis.
Mathieu Flamini.......
Bonge la middle hili......