Arsenal wamemaliza rasmi shughuli zote za usajili wa Mesut Ozil na atatangazwa rasmi hivi punde na kuwekwa kwenye tovuti ya Arsenal.
Mesut Ozil
Ozil ambae ana umri wa miaka 24 amesajiliwa rasmi kutoka Real Madrid kwa gharama za paundi milioni 42.4 na amesaini mkataba wa miaka mitano na atakuwa akilipwa paundi za Uingereza 115,000 kwa wiki.
Ozil kwa asili ni Mturuki na wazazi wake wote ni wahamiaji wanaoishi nchini Ujerumani.
Katika maelezo yake kwenye ukurasa wake wa Facebook Ozil anasema, "Dear fans of Real Madrid. Thank you very much for three wonderful years with all of you. "My time at Real Madrid was unique and special for me".
"Sometimes things develop differently, than I would have expected them to a few days ago. Although I'm leaving Real Madrid, I wish you and the team the very best for the future."
"Now, I'm looking forward to my new club: THE GUNNERS!"
Nae Meneja Arsene Wenger anasema kwenye taarifa yake ya kumkaribisha Ozil- "We are extremely pleased to have signed Mesut Ozil. He is a great player, with proven quality at both club and international level. We have watched and admired him for some time as he has all the attributes I look for in an Arsenal player.
I have said throughout the summer that we have been working hard to bring in top quality players to this football club. This has involved many many people across the club and I have always had the full support of the club in making decisions on the football side.
Mesut is a top quality footballer who will be a fantastic addition to our talented squad. We are all looking forward to him joining up with us after his international matches with Germany and working with us as an Arsenal player."