Nzi bana, hahaha....
Maneno haya unayasema kwa "uchungu" namna hii kwakuwa wewe Man United tu au mpenzi sana wa Ozil?
SkySports reports that Ozil doesn't want a nove to Arsenal. He wants to move to Man United.
Wakuu habari za jioni.
Arsenal itatangaza kumsajili Mesut Ozil na Emiliano Viviano. Viviano tayari amepass medical na yupo London.
Ozil ambae yupo mjini Munich nchini Ujerumani yeye amefanikisha suala la medical na ataendelea kuwepo kambini na timu yake ya taifa ya Ujerumani.
Gazidis na wawakilishi wa Ozil ndio wanamalizia paperwork na baadae wakimaliza Ozil atatangazwa rasmi.
Hata hivyo bado Arsenal inajaribu kuzungumza na Chelsea ambao wanataka paundi kama milioni 3 hivi ingawa Arsenal wanasisitiza kuwapa milioni 3.5
Pia Huenda Angel Di Maria akagusiwa endapo Real Madrid watatoa go ahead.
Ila kuna taarifa chelski (not surprised at all) eti wamekataa kumuuza Demba Ba!!! Wakina Peasant wana vituko aise...
Wakuu Arsenal wanaangalia situation ya Wayne Rooney.
Wanaweza kuweka mezani kama milioni 25 hivi na inaweza kuwa dakika za mwisho za usajali ambapo kumebakia masaa mawili na ushei hivi.
NB
Man Utd bado wanadaiwa na Arsenal paundi milioni 14 lkati ya 24 ambazo zilikuwa ni ada ya Robin Van Persie ambazo zinalipwa kwa awamu, na kama watazungumza vizuri basi wanaweza kumalizana humohumo na kufanya ada ishuke kidogo.
Lakini kuna tatizo la mshahara na Rooney anangalia kwenye paundi 200,000 kwa wiki.