Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nadhani tunaitajika hata kuridhika na tulichopata maana nani alijua surprise ya babu wenger ni kutuletea Ozil tena kwa £ 42.5M ? Ukweli kwa sasa sio wakati wa kuokoteza wachezaji kwa timu kama Arsenal na ndio maana alimtaka Suarez mpaka alipoona Liverpool watamchelewesha ndio amemchukua Ozil kwa kuwa ni kama Bergkamp mpya,kwa kumpata Ozil tumefungua njia mpya kuwaleta wachezaji wazuri pia angalia suala la mshahara nao wachezaji hawatakiwi kupishana sana kiasi kwamba unaweza leta mgomo wa chini kwa chini nadhani babu anachotakiwa kuangalia ni suala la mishahara kwa wachezaji atakaowaleta na wengi wanataka mishahara mikubwa,kama uliangalia mechi na Tottenham tulimkosa mtu kama Ozil kuweza kumalizia ile mipira na kupata magoli mengi,na tushukuru kumpata Flamini kwa kweli amecheza kiungo ile ya Song maana tatizo la Arsenal lilikuwa ni Kiungo mkabaji anaejua kazi yake tuseme ukweli Ramsey na Arteta walikuwa wanajitahidi lakini sio kama anavyocheza Flamini


Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

Kwa hiyo kwa Ozil matatizo ya Arsenal yamekwisha? Kwa hiyo tutarajie ubingwa gani kutua Emirates mwaka huu?

Washabiki wa Arsenal, kweli washabiki maandazi!!

Alikuwepo huyo Song, Arsenal ilishinda nini?!? Alikuwepo Cesc, mliyemwona kama 'mungu mtu', mlishinda vikombe vingapi?!?

Hakuna ubishi kwamba Ozil ni mchezaji mkali sana, tena sana. Mimi namkubali sana Ozil na toka kabla hajaenda Real, nilitamani Man United wamchukue, lakini wakambwela.

Lakini kumpata Ozil na huyo pensioner Flamini, sidhani kama ndiyo matatizo ya Arsenal yataisha.

Anyway, nisijifanye naijua sana Arsenal. Tukutane Nov. 10 pale OT.
 
naomba hyo cku ucwe unachungulia kwa mbali tu uwepo hapa mkuu nzi, tafaadhali iwe hivyo hyo cku...😀😀😀😀😀
 
habari ya mjini ni kwamba they have "Tom" Cleverley we have ozil
 
Kwa hiyo kwa Ozil matatizo ya Arsenal yamekwisha? Kwa hiyo tutarajie ubingwa gani kutua Emirates mwaka huu?

Washabiki wa Arsenal, kweli washabiki maandazi!!

Alikuwepo huyo Song, Arsenal ilishinda nini?!? Alikuwepo Cesc, mliyemwona kama 'mungu mtu', mlishinda vikombe vingapi?!?

Hakuna ubishi kwamba Ozil ni mchezaji mkali sana, tena sana. Mimi namkubali sana Ozil na toka kabla hajaenda Real, nilitamani Man United wamchukue, lakini wakambwela.

Lakini kumpata Ozil na huyo pensioner Flamini, sidhani kama ndiyo matatizo ya Arsenal yataisha.

Anyway, nisijifanye naijua sana Arsenal. Tukutane Nov. 10 pale OT.
Teh teh teh....naona unaandika kwa stress baada ya kuona kila mchezaji anawakimbia! Niwape pole kwa kuwa na kocha mbovu ambaye hata hawezi kuact kwenye transfer market.
Mwaka huu sisi ni washindani wakuu wa EPL tofauti na miaka mingine. Moyes has never won against Wenger so tegemea kichapo tutakapokuja kwenu. BTW hiv mnashika nafas ya ngapi kwenye ligi?
 
Kwa hiyo kwa Ozil matatizo ya Arsenal yamekwisha? Kwa hiyo tutarajie ubingwa gani kutua Emirates mwaka huu?

Washabiki wa Arsenal, kweli washabiki maandazi!!

Alikuwepo huyo Song, Arsenal ilishinda nini?!? Alikuwepo Cesc, mliyemwona kama 'mungu mtu', mlishinda vikombe vingapi?!?

Hakuna ubishi kwamba Ozil ni mchezaji mkali sana, tena sana. Mimi namkubali sana Ozil na toka kabla hajaenda Real, nilitamani Man United wamchukue, lakini wakambwela.

Lakini kumpata Ozil na huyo pensioner Flamini, sidhani kama ndiyo matatizo ya Arsenal yataisha.

Anyway, nisijifanye naijua sana Arsenal. Tukutane Nov. 10 pale OT.

......mnh, Ozil amekuuma kweli mkuu hehehe....unamwaga povu tu bado?
Aaaa kaka vibaya hivyoo!

Yeah, with Fellaini onboard Everton imehamia Old Trafford....
Maana kuanzia jopo la makocha mpaka your approach game to game na tactical formations....

Raha tupu!
Giggs aka kocha mchezaji hataki kumwachia namba mtu, kila game naye acheze, kha!?

Hebu tuachieni jukwaa letu,
Tutawafuata hukohuko " 'manevarton' hamshikiki!"
 
mkuu acha kufananisha Tyson na Matumla Huyo Tom Clavery hata kwa Wilshere bado saaana.
Walikuwepo Nasri,Cesc,RVP,Wilshere ni wakali kuliko Cleverley but walichowasaidia ni kutetea ubingwa wenu(nafasi ya 4) kwa miaka 8 mfululizo na huu utakuwa wa 9 ,hao wabovu kina Wellbeck,Cleverly tayari wamebeba EPL
 
Walikuwepo Nasri,Cesc,RVP,Wilshere ni wakali kuliko Cleverley but walichowasaidia ni kutetea ubingwa wenu(nafasi ya 4) kwa miaka 8 mfululizo na huu utakuwa wa 9 ,hao wabovu kina Wellbeck,Cleverly tayari wamebeba EPL

lets b patient dude, we better calm down till may; ts whn we'll know which is ripe and which is not
 
[h=1]Mesut Özil's £42m move to Arsenal sealed with one phone call from manager Arsene Wenger[/h][h=2]There can be no single occasion during the entire 17 years of Arsène Wenger’s tenure at Arsenal when having a multilingual manager has been more useful.[/h]
mesut-ozil2_2660863b.jpg
New era: Mesut Özil’s arrival has made Arsenal a buying club again Photo: EPA









By Jeremy Wilson

8:45PM BST 03 Sep 2013

comments.gif
45 Comments



After months of on-off negotiations, the club’s chief executive, Ivan Gazidis, was made aware on Saturday that Real Madrid would be willing to sell Mesut Özil for £42 million.

The problem, however, was that Özil himself had always seen his future at Madrid and would need some convincing.

Wenger immediately broke off from his preparations for Sunday’s north London derby, dialled Özil’s phone number and, after a series of lengthy conversations in German, was quietly confident that the deal had been done.

He had outlined his vision for how he wants his team to play, how he saw Özil becoming his creative conductor and, above all, how this would just be the start of Arsenal competing with the superpowers of European football for the world’s best players. Conversations with Per Mertesacker and Lukas Podolski followed, leaving Özil convinced.

While Tottenham chairman Daniel Levy was at the Emirates watching his team lose 1-0 to Arsenal, Gazidis was arriving in Spain to conclude a deal with Madrid.



 


[h=1]Manchester United tried to hijack Mesut Ozil's Arsenal deal with last gasp bid[/h]3 Sep 2013 22:30United attempted last ditch bid for German playmaker after move for Ander Herrera hit the rocks




CS24860315Football%20-%20German-944400.jpg
Manchester United tried to gazump Arsenal for Mesut Ozil
Reuters


Manchester United made a last gasp attempt to snatch transfer record breaker Mesut Ozil from Arsenal's grasp.
United made enquiries on Monday with Old Trafford boss David Moyes desperate to bring in a top quality playmaker before his deal for Athletic Bilbao midfielder Ander Herrera went horribly wrong.
Mirror Sport understands that desperate phone calls were made on Monday morning to see if Ozil was still available, having been offered by third party agents two weeks before.
But it was already too late as Germany midfielder Ozil, 24, had turned down a more lucrative offer from Paris Saint Germain and now it emerges that Arsenal also beat United to a deal with Real Madrid.
It is a remarkable coup for Arsenal to get the £42m midfielder who has signed a five year deal at the Emirates worth £140,000-a-week and has been given the No11 shirt. Arsenal had already invested weeks of preparation into the deal and that was vital in them fending off late competition.
The interest in Ozil - the second biggest deal in Premier League history after Fernando Torres' £50m deal in January 2011 - has been incredible among Arsenal fans, sparking shirt sales and excitement as Gunners boss Arsene Wenger has made a clear message of intent.
England winger Theo Walcott yesterday claimed Ozil's arrival proves that Arsenal are determined to get back to winning major trophies after eight barren years.
Walcott said: "It's a fantastic signing. He has shown for his club and country that he is a fantastic player. It's very exciting. I played against him with the Under-21s and we lost 4-0. He showed his qualities then. He has shown that for many years. I am looking forward to playing with him.
Liverpool-v-Manchester-United-Premier-League-2243511.jpg
David Moyes was left frustrated when he missed out on Ander Herrera
Alex Livesey
"We had a disappointing start to the season but we have bounced back and it's looking fantastic now. With the likes of Ozil joining the club, it's only going to boost everyone at the club and everyone is going to be on a massive high.
"I think it definitely shows a statement that we are ready to step up and Ozil is going to be fantastic for me personally.
"With the amount of the assists he has got, it's a dream for me to see so I am very excited to see him in the flesh and play with him. I am sure all the Arsenal fans will be looking forward to our next game at Sunderland."



Check out all the latest News, Sport & Celeb gossip at Mirror.co.uk Arsenal transfer news: Manchester United tried to hijack Mesut Ozil's Arsenal deal with last gasp bid - Mirror Online
Follow us: @DailyMirror on Twitter | DailyMirror on Facebook
 
Mambo huenda yakawa mazuri mwaka huu tupunguze presha bandugu.....
 
Teh teh teh....naona unaandika kwa stress baada ya kuona kila mchezaji anawakimbia!

Teh teh teh teh!!! Look who is talking?!?

Transfer targets wa Arsenal alikuwa Ozil tu enh?!? Higuain? Di Maria? Demba? D. Villa? Mata? Suarez? L. Gustavo? Jovetic? Wanyama? Rooney? J. Cesar? Fellaini? Mliwapata?

Katika hilo hakuna wa kumcheka mwenzake? Arsene alijigamba kutumia paundi milioni 80 katika dirisha hili, kaishia kutumia 42!!

Niwape pole kwa kuwa na kocha mbovu ambaye hata hawezi kuact kwenye transfer market.

Kocha mbovu kwa misingi ipi?!? Kwa kuangalia game 3? Ambapo kashinda 1, droo 1 na kufungwa 1?!?

Transfer market kwa United, safari iliathiriwa na CEO mpya, Ed Woodward, ambaye alikuwa mzito kutoa pesa. Tofauti na David Gill, ambaye sasa ni makamu mwenyekiti wa FA. Ed alikuwa mzuri sana katika kumarket timu na kutafuta dili za udhamini. Lakini katika usajili, kachemsha mazima. Moyes hana lawama katika hilo.

Mwaka huu sisi ni washindani wakuu wa EPL tofauti na miaka mingine.

Miaka mingine mlikuwa mnafanya nini? Aibu, timu 'kubwa' kama Arsenal kuwa wasindikizaji!!

Moyes has never won against Wenger so tegemea kichapo tutakapokuja kwenu.

Hivi wewe ni shabiki Arsenal kweli?!? Maana hujui records za timu yako against timu nyingine!

Ngoja nikusaidie: Moyes akiwa kocha wa Everton, ashamfunga Wenger mara 3.

1. 2002/03 Everton 2 Arsenal 1. Goli kali sana la kijana Rooney akiwa na miaka 16, ndilo lililoiua the Goons.

2. 2005/06 Everton 1 Arsenal 0, goli la James Beattie.

3. 2006/07 Everton 1 Arsenal 0, goli la Adam Johnson.

Sasa hapo unasemaje? Kweli shabiki maandazi, huna taarifa za timu yako??!?

BTW hiv mnashika nafas ya ngapi kwenye ligi?

Tunashika nafasi tuliozoea mwanzo wa ligi. Kawaida ya GGMU

Mbona nyie kila mwanzo wa ligi uwa mnashika nafasi ya kwanza?!? Sasa inakuaje mnaporomoka?!?
 
Walikuwepo Nasri,Cesc,RVP,Wilshere ni wakali kuliko Cleverley but walichowasaidia ni kutetea ubingwa wenu(nafasi ya 4) kwa miaka 8 mfululizo na huu utakuwa wa 9 ,hao wabovu kina Wellbeck,Cleverly tayari wamebeba EPL

Hahahahaha nyie subirieni kurithi nafasi ya Everton msimu huu.
 
Teh teh teh....naona unaandika kwa stress baada ya kuona kila mchezaji anawakimbia! Niwape pole kwa kuwa na kocha mbovu ambaye hata hawezi kuact kwenye transfer market.
Mwaka huu sisi ni washindani wakuu wa EPL tofauti na miaka mingine. Moyes has never won against Wenger so tegemea kichapo tutakapokuja kwenu. BTW hiv mnashika nafas ya ngapi kwenye ligi?
Nashukuru kwa kumueleza ukweli
 
"We didn't accept arsenal's offer for Demba Ba because the signing of Ozil makes them title contenders".-JOSE MOURINHO.
 
mkuu acha kufananisha Tyson na Matumla Huyo Tom Clavery hata kwa Wilshere bado saaana.

Unaifahamu tofauti yao chifu? Tom ana ndoo ya EPL. Yaani Wheelchair hata Community Shield hana?!?

Halafu, washabiki wa Arsenal kweli mashabiki maandazi. Uwa mnaongea bila takwimu zozote. Ebu someni hizi picha mwone nani ni mkali kati ya hao wawili.

Kwa ujumla, Wilshere ni mzuri sana kwenda mbele; na Cleverley ni mzuri sana kukaba. Kwa hiyo kila mmoja ana uwezo na mapungufu yake.

Someni uchambuzi wa watu wa soka mbalimbali hapa:

thefootballfront.blogspot.com/2013/01/jack-wilshere-v-tom-cleverley.html?m=1

eplindex.com/25709/tom-cleverley-jack-wilshere-stats-comparison.html

www.sportskeeda.com/2013/01/07/whos-better-tom-cleverley-or-jack-wilshere/
 

Attachments

  • 200c34f2037a61cc8a0e05f57d68e7db.jpg
    200c34f2037a61cc8a0e05f57d68e7db.jpg
    57.4 KB · Views: 72
  • c89e881631399b574d06fab83f644237.jpg
    c89e881631399b574d06fab83f644237.jpg
    49.9 KB · Views: 76
  • 8676b6ed5c47b2fc6b207827cabb1032.jpg
    8676b6ed5c47b2fc6b207827cabb1032.jpg
    67.6 KB · Views: 69
Teh teh teh teh!!! Look who is talking?!?

Transfer targets wa Arsenal alikuwa Ozil tu enh?!? Higuain? Di Maria? Demba? D. Villa? Mata? Suarez? L. Gustavo? Jovetic? Wanyama? Rooney? J. Cesar? Fellaini? Mliwapata?

"i'll buy the top top quality players but at right price, i wont jst add numbers." hayo co maneno yangu (le prof. said)....so ucbwabwaje 2 bwna Nzi ile ndo sera mpya ya babu, hatununui palayers kama belo la mitumba mkuu & ts better buy nothing rather than buy panicly....
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom