Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wakuu si mmesikia, jioni hii Daniel Levy kwa hasira akatoa go ahead ya kumtangaza Gareth Bale kwamba amesajiliwa rasmi na Real Madrid.

Ndipo kwa unyonge AVB akathibitisha mbele ya kamera za SKYSPORTS NEWS.
 
Utakuwa umehama timu wewe grory hunter ... .. khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Kwa wewe husiyefahamu kusoma maneno utajua mimi ni glory hunter!!! khe khe khe khe

BTW what glory is there to hunt at ArseNane?!?

Tukutane Nov. 10 ili tuheshimiane.

#GGMU ONCE UNITED, ALWAYS UNITED.

OTOH, bahasha la Wenger leo lilikuwa zito, naona pesa yote ya usajili kaimaliza kwa kumlipa refa leo.

Bale sasa ndani ya Real, Wenger hana visingizio vya eti Spurs wanawafanyia mchezo mchafu. Mnalalamika kufanyiwa mchezo mchafu, wakati mmezoea kufanyiana huo mchezo mchafu!!

khe khe khe khe khe
 
Utakuwa umehama timu wewe grory hunter ... .. khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Kwa wewe husiyefahamu kusoma maneno utajua mimi ni glory hunter!!! khe khe khe khe

BTW what glory is there to hunt at ArseNane?!?

Tukutane Nov. 10 ili tuheshimiane.

#GGMU ONCE UNITED, ALWAYS UNITED.

OTOH, bahasha la Wenger leo lilikuwa zito, naona pesa yote ya usajili kaimaliza kwa kumlipa refa leo.

Bale sasa ndani ya Real, Wenger hana visingizio vya eti Spurs wanawafanyia mchezo mchafu. Mnalalamika kufanyiwa mchezo mchafu, wakati mmezoea kufanyiana huo mchezo mchafu!!

khe khe khe khe khe
 
olivier-giroud_2658611b.jpg



Hear, hear: Olivier Giroud scored the goal which sank Tottenham
at the
Emirates
 
Thank you for the 3 points Arsenal. Now prove me wrong and sign a world class player or two. Thanks
 
article-2408487-1B91B8A7000005DC-195_634x431.jpg



Meerkat baada ya kutoroka kwenye cowshed akijaribu kumzuia Ramsey
kufanya kazi aliyotumwa na
prof.
 
Ozil anaweza kutua lakini kwa maoni yangu hatumuhitaji huyu tulikuwa tunahitajia striker centre back na kipa.

Arsene Wenger has stepped up his pursuit of the German playmaker, who has fallen down the Bernabeu pecking order, and hopes to complete a spectacular deal on deadline day.


Arsenal in £40m talks with Real Madrid to sign Ozil - Goal.com

Ilikuwa iwe Ozil na Di Maria lakini naona wataenda na hiyo ya Ozil ambae atasaidia katikati kama namba 10 na Walcott atakuwa akicheza kwenye wingi ya kushoto hadi Podolski atakaporudi mwezi November.

Lakini inategemea na Wenger anataka timu icheze vipi.

Ozil atatufaa ikiwa Arsenal watamsajili.
 

Mkuu naona interests zetu zinafanana mno 🙂🙂 nami namuangalia TW hapa kabla nilikuwa namuangalia Nadal. Miaka ya nyuma nilikuwa camp Federer akaniboa nikahamia kwa Nadal ambaye siku hizi akicheza na yeyote yule nataka yeye ashinde. Kesho michapo miwili mizuri sana sitaki kukosa hata sekunde moja, ni mtihani mgumu sana kwa timu yetu. Kisha mchana kuna TW na tennis kutakuwa na Serena na Sloane mechi ambayo itakuwa na ushindani mkubwa sana (hopefully)
Mkuu sio kama nakufatilis ila jaribu kujenga taifa lako achana na hayo mamichezo kesho ni j3
 
Haikuhusu lolote kutaka kunipa ushauri sikujui hunijui...mambo ya Ngoswe muachie Ngoswe....Watu wengine banaaa!!!! dah!!!!

The guy is a loafer. Hata hafahamu the most paying job at the moment ni sports, kiwango cha mtu binafsi kujituma na kufanikiwa kile ambacho anakiweza. Wacha - na naye. Wivu unamsumbua.
 
article-2408576-1B91AE11000005DC-93_634x419.jpg


Not doing a bad job -
Prof Arsene Wenger celebrates after Arsenal scored
against Tottenham at the
Emirates
 
ilikuwa iwe ozil na di maria lakini naona wataenda na hiyo ya ozil ambae atasaidia katikati kama namba 10 na walcott atakuwa akicheza kwenye wingi ya kushoto hadi podolski atakaporudi mwezi november.

Lakini inategemea na wenger anataka timu icheze vipi.

Ozil atatufaa ikiwa arsenal watamsajili.

atafaaa sana....karibu ozil
 
......i wont be surprised with one "top" addition [only] na 'unknowns' wawili watatu...

Gnarby, Sanogo na Zelalem walikuwa bench jana Vs Spurs, bado kuna Miyaichi na Frimpong!

Huyu mzee ana Imani kubwa na potential Squad aliyonayo, hata sign "Big" names just to please fans.

....jamani ee, Kuna michezaji mingine hata kwa ubora gani i.e Slatan Ibrahimovic, ni "me me me....!" Mpaka team inakosa 'team work!'...
 
Sidharau Mkuu Questt lakini ngome ya timu yetu tunaijua na golikipa wetu mchecheto...hivyo tunaweza kabisa kubugizwa goli mbili au hata zaidi za haraka haraka na furaha yote ikapotea...
Sure sure,.... Ila ndo ivo tena ... Tumeshinda na Man Utd kalala....
 
.....goalkeeper;

Viviano, Italian international from Palermo....

Huyu tunamsajili kwa mkopo (on loan) mpaka mwisho wa msimu....
 
Back
Top Bottom