BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Sidharau Mkuu Questt lakini ngome ya timu yetu tunaijua na golikipa wetu mchecheto...hivyo tunaweza kabisa kubugizwa goli mbili au hata zaidi za haraka haraka na furaha yote ikapotea...
Mkuu BAK usidharau kagoli kamoja.... Kama kakidumu huwa kanaleta RAHA sana.... Kama SPURS wangekuwa NGURUWE unajua ni watoto wangapi kwa GOLI moja??? HAHAHAHAHAHAAA... Lets enjoy the DAY kaka....
Last edited by a moderator: