Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sawa tumelala hongera sunderland 13 unbeaten games record is gone. tugange yajayo. chelsea @ Emirates Saturday.
 
nilijua tu leo pagumu.
Sawasawa Arshavin, Gallas na Sagna wote wanaonekana wamechoka Eduardo hakuwa na impact yoyote, Nasri nae bado hajarudi katika form, nilishangaa kwa nini Eboue hajapangwa kucheza kabisa?
 
Kwanini AW amemchagua Traore dhidi ya Silverstre? nani alitakiwa kumkaba Fraiser Campbell? Traore bado hana uzoefu.
 
Kwanini AW amemchagua Traore dhidi ya Silverstre? nani alitakiwa kumkaba Fraiser Campbell? Traore bado hana uzoefu.
traore kapiga game vizuri sana leo mkuu.kamchagua traore zaidi ya silvestre kwa ajili ya speed.silvestre angechemsha leo asingeweza kumudu kasi ya sunderland.tulipoaribu pale kati watoto mayai wanadondoka sana wakipigwa push kidogo.sunderland wanacheza mpira wa nguvu pale kati na wanauwezo wa kushambulia.afadhali denilson karudi atakuja kumsaidia song pale kati.

na tumepoteza chance chache za wazi tulizopata.kuweka ramsey,nasri,rosicky pale kati noma bora ya eboue ana nguvu.
 
Sunderland 1 na hawa jamaa wa hapa 0

Chelsea 4 na wolves 0

Asante Mkuu

Nimafurahia sana matokeo ya Sunderland kuliko ya Chelsea maana hapa kungekuwa na makelele ya keyboard! Arshavin, Cesc Frabegas, Denilson na wajinga wengine wa ze gunners
 
Pole mkuu ila ndio safari, tuvumilie tu, pengo la RVP linaonekana waziwazi kabisa. Bora hizi wiki 6 na zipite haraka.
Usijali placenta litafanya mambo, mechi ya Chelsea atacheza!
 
Unajua huyu Darren Bent huwa simpendi sana huyu........sijui kwa nini anaumiza wazee namna hii lol
 
Back
Top Bottom