Yani nimefurahi sana,
Babu amenikera sana na kujifanya kwa miaka 8 kuwa yuko smart zaidi yetu mashabiki..hasikiiiii...
nna hamu sana ya kumsikiliza atakachosema kwenye post-match interview...M.oron kabisa!!!
Mpaka sasa mnanyanyaswa na Villa tena nyumbani kwenu (1- 3), kulikoni? Yaani mnapigwa bao na Villa? Ohoooo, angalieni msije kuwa kama Liverfools, miaka karibia 30 bila ubingwa, kazi kelele tu bila utekelezaji kama watanzania.