Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

hao unaowaona wakipinga kila kitu cha Arsenal, timu inawauma na hawawezi kukaa bila kufuatilia timu, wao ndio wale "nataka sitaki"
Mimi sitegemei kuona usajili wa forward zaidi ni kati center half kwani yule mfaransa bado yumo lakini mjerumani naona yupoyupo tu na full back right inaanza kuchoka Sagna
Goal keeper tunahitaji kwani hatuna ushindani kwenye nambari hapo lazima uwepo ushindani ili kila mtu ajiweke fiti
Mtu muhimu kwa timu hii ni mtu wa kutia hamasa( mchezaji kiongozi) ikiwa atapatikana basi timu tunayo ya kushindana
Mkuu hao jamaa dawa yao ni kuwapiuza tu..Hauna haja ya kujibizana nao...

Mi huwa nashindwa kuwaelewa Peasant na wenzake....Timu zao zina thread hawachangii lakini kutwa kucha wako hapa kutoa maneno ya dhihaka na wakati mwingine 'matusi' dhidi ya mashabiki wa Arsenal......Kuna wengine humu naona siku zao haziendi bila kutoa dhihaka dhidi ya Arsenal na mashabiki wake.....Inasikitisha na kukera sana....

Ustaarabu hakuna kabisa....Watuache mashabiki wa Arsenal na si kutusakama kipuuzi maana kila mtu ana uhuru wa kushabikia timu anayotaka...

Why Always Arsenal?.....
 
Jamani wakuu,hadi sasa sijamuelewa Wenger manake kapewa pesa mezani tena yakutosha, hadi leo sijaona usajili. Au anasubiri tupigwe mechi tano za mwanzo ndo asajili? Huyu mzee siyo siri ataniua kwa presha!!!!!

Usiwe na shaka Prof ndio kwanza anarudi kutoka Far east atakuwa anakamilisha vitu pale Emirates na weekend ijayo Emirates cup. Kikosi kipo imara ni kujazia jazia tu hana sababu ya papara ya kununua ili mradi kanunua. dirisha bado liko wazi ...... .... .

Yaani watuache kabisaa
yaaan naipenda arsenal mpaka natamani kungekua na mpesa au tigo pesa hata 250 yangu niwatumie ili tu mchango wangu wauone
Ila babu mbona hafanyi makeke au anataka kutusuprise mwisho wa usajili


Prof. anaenda kwa hatua usione wanoko mineno mingi subiri uone mwaka huu ....... ...... ..... .....


Kutokana na historia ya AW katika usajili wa miaka ya hivi karibuni, mie niliandika hapa kama sikosei May 2013, kwamba katika usajili wa 2013/2014 tusitegemee jipya itakuwa ni usanii ule ule wa miaka karibuni wa kusajili magarasa. Naona kauli yangu imetimia. AW ni janga la Gunners.

I don't think so, bado tuna wachezaji wazuri sana ngoja EPL ianze ndio utaona ..... ....... .

Chakushangaza wenger amesema he still have a strong team to win trophies without any signing

Definitely anachohitaji ni kuongeza kwenye safu ya ushambuliaji mfano Sure Boy kama Loserfools watagwaya, then kule nyuma kama akipata mchezaji wa uhakika ambaye atasaidia defence then mchezaji moja nyota pale kati biashara itakuwa imekwisha bila kusahau wachezaji ambao wamekuwepo kwenye timu ambao sasa hivi ni moto wa kuotea mbali ..... ... .Giroud, Theo, Ox, Jack, Kosc, pamoja na Carz, Pod etc usiombe hapo hamuoni Chelsick wanavyoanza kuweweseka ..... .... Ramsey anarudi kwenye hali yake kabla ya kuumia. Sina wasi wasi kabisa na programme ya Prof.
 
Haya banaa Wacha1, mie nasubiri vipigo vya kila week na kushinda kibahati bahati hata na timu ambazo hazistahili kabisa kututoa jasho.
 
Haya banaa Wacha1, mie nasubiri vipigo vya kila week na kushinda kibahati bahati hata na timu ambazo hazistahili kabisa kututoa jasho.

EPL yetu mwaka huu njoo May kusheherekea.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Haya tujipe moyo lakini ukweli tunaujua. 🙂...IMO it`s another season to compete for a fourth place.

Mkuu sio kujipa moyo, angalia mechi kumi za mwisho za EPL mwaka jana, Giroud, Pod ndio walikuwa wapya na hawajazoea mikiki mikiki ya EPL Judas ndio alisepa, mwaka huu ikiwezekana tunaongeza tu wachezaji machachari. Giroud akifunga 30+ goals na Huyu Sure boy kama akitinga mpe 30 goals then yupo Theo na Ox pamoja na Jack patamu hapo usisikie majina EPL ni another monster ..... ... you will tell me.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mkuu sio kujipa moyo, angalia mechi kumi za mwisho za EPL mwaka jana, Giroud, Pod ndio walikuwa wapya na hawajazoea mikiki mikiki ya EPL Judas ndio alisepa, mwaka huu ikiwezekana tunaongeza tu wachezaji machachari. Giroud akifunga 30+ goals na Huyu Sure boy kama akitinga mpe 30 goals then yupo Theo na Ox pamoja na Jack patamu hapo usisikie majina EPL ni another monster ..... ... you will tell me.

Absolutely spot on...tunahitaji players watatu na obviously watanunuliwa tu.
 
Vipi matoeo ya Uchunguzi wa Afya ya Huguain yakoje? Kamuda kamepita kidogo!!!!!



Amekwama Heathrow kutokana na msongamano mkubwa sana wa washabiki wa Arsenal waliojitokeza kumpokea....more news to follow.

khe khe khe kheeeeeeeeeee!!!!!!!!!
 
601891_613734541971252_1860493591_n.jpg



Khe khe khe kheeeeeeee!!!! The Nutty Professor!
 
On 10th of June 2013 Ivan Gazidis said, "This year we will strive to get our transfer business done early. We are trying to get things done."


Happy July 29th
:embarrassed1:
 
Mkuu Wacha1, ngoja tuendelee kuvumilia, ila tusiwe tena watu wa "tutafanya vizuri msimu ujao". ni misimu saba sasa imepita kimya kimya. Na hii Emirates Cup kama hatutalikosa kama mwaka jana au juzi mtanambia!!!!
 
Last edited by a moderator:
Wewe unawadanganya wenzio, mbona timu ikianza kufungwa unahamia jukwaa la MMU

.....mnachonga sana nyie, MMU mapozeo tu, na msimu ulopita 'Van Purse' aliniondoa stimu kabisaaa kama Suarez anavyotaka kumkata stimu TIMING .... 🙂
 
Last edited by a moderator:
Haya tujipe moyo lakini ukweli tunaujua. 🙂...IMO it`s another season to compete for a fourth place.
Real fans neva loose hope and it is our time
Binafsi naamini huu msimu wetu, tukishindwa msimu huu mwenyew nitadeki barabara ( #obama tour) ...
 



Poldi Aha ... ...... ..



BTW Jack amesema yuko 80% ... .... ... 20% itawezekana katika kipindi cha miezi kama miwili hivi .... .... COYG
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahahahaa!!!! Hii kali kweli. Tutahifadhi hii post yako na kukumbusha ifikapo May.

Mtoto wa kambo hujambo? Vipi cowshed haina chakula umekuja kuokota makombo huku? Yupo Chamakh hapo mchukueni tu hakuna maloloso .... ..... ..... khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
On 10th of June 2013 Ivan Gazidis said, "This year we will strive to get our transfer business done early. We are trying to get things done."

Happy July 29th
:embarrassed1:

Hebu ngoja kidogo mkuu...hapo ni kweli Gazidis alisema uongo ila kwa akili ya kawaida huwezi kwenda kushindania Premier league bila makipa 3 wazuri na sasa tunao wawili ambao ni competitive...I guess watarudi kwa julio Cesar maana hana timu unayomuitaji sasa na Agent wake alishasema "Arsenal is only remained option" shida ni kuwa ameambiwa apunguze personal demands zake na QPR hawana uwezo wa kuendelee na wachezaji wa aina ya Cesar maana wana mishahara mikubwa na jamaa mwakani World cup anataka awe kikosi cha kwanza BRAZIL na huwezi kuwa kipa no moja Brazil ukipambana na Milwall,doncaster utd,Preston, Leeds etc kila wiki

Ishu nyingine Tumeondoa under-performers wengi sana ku free up wage bill naamini tutafanya Quick deals kwa wachezaji watatu...akiwemo beki wa kati maana Djoruo japo ni mchezaji wetu ndio keshaenda humburg kwa mkop na Squillaci hayupo tena...we need a defender for pairing Thomas vermaelen na atakuja...let's be patient wenger ananunua wachezaji kwa style ya aina yake mwenyewe

kuna jambo flani wengi tunalisahau hapa tulicheza mechi 10 baada ya feb 2013 baada 2-1 defeat pale white Harte lane katika kiwango cha juu sana na tuliona timu ili gain momentum ya kutosha kwa mechi zile tulidraw na man utd na Everton..hapa naongelea kama Wenger aki capitalise kwenye stability ya mwisho wa msimu na akaongeza few players tutafanya vizuri

Mi mtazamo wangu though fans tuko frustrated na delays za transfer kuna balaa flani kwenye Soko siku hizi wachezaji wanauzwa kwa bei ambayo ni INFLATED hata x2 hadi x3 na Wenger ni mtu anaependa ku bargain na kununua at "right value" sasa soko likielekea mwishoni kuna uwezekano mkubwa kukawa na ''SUPRIZE" buy kwani hata issue ya Suarez naiona kama ni smoke screen

kuna wachezaji Arsenal wamenunuliwa past two seasons mwishoni mwa dilisha Mfano.Santi mwaka jana alinunuliwa August 5 na Giloud August vilevile na akina Per,Arteta,Babtista,Arshavin na wengine walinunuliwa last day sasa tusubiri hiyo siku ikishapita tutajua kama kweli ni mbivu au Mbichi

Mi naamini atanunua na wengi sana hapa kundini "haters" wanafurahia sana wenger asinunue tuendelee kusuasua ila i believe timu nzuri inajengwa kuanzia kwenye stability ya kikosi "tushukuru hatujavurugiwa kikosi" this time arround
 
Mkuu kashengo, tunajua mwisho wa msimu huu Arsenal ilikuwa stable.
Ukweli kuwa bado tunahitaji reinforcement.
Hata wachezaji wenyewe wanataka Wenger asajili.
Tunahitaji clinical finisher, na reinforcement pia kwenye midfield...
Usajili licha ya kuleta talent mpya, inainua morali ya wachezaji.
Ukiangalia majirani zetu walivokuwa serious kwenye usajili... Chelsea, City, Spurs, Liverpool, Utd...
Msimu ujao tutakuwa tunatafutanafasi ya kucheza uropa.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom