Matokeo yake yalikuwa ni kwa Real Madrid na support ya haters kuongeza dau kuwa hizo paundi milioni 34.5 badala ya milioni 26 walizokubaliana.
Arsenal walikwishakubaliana na baba yake Higuain lakini walikuwa hawafahamu mipango mingine ya raisi wa Real Madrid , ambae mahesabu yake ni kumuuza Higuain na kuongeza pesa kumnunua Luis Suarez na Gareth Bale.
Lakini Arsenal wakaamua kutema suala la Higuain ambae hata hiyvo hajachacheza sana mechi nyingi na kushikilia suala ya Luis Suarez ambalo limezaa matunda na Liverpoll leo wamesalimu amri na kumruhusu Suarez azungumze na Arsenal.
Inajuliikana wazi kwamba Luis Suarez ni mshambuliaji makini na ndie atakeziba nafasi ya RVP na kila hater anafahamu hivyo na Liverpool pia wanafahamu hivyo.
Arsenal ina pesa za kutumia na wanataka tu kumsajili Luis Suarez kwanza na mengine yatafuata baadae wewe mkuu ukae usubiri tu the new Arsenal outfit, maana dirisha la usajili bado lipo wazi hadi tarehe 15 August.
Anyway maskauti wapo standby kushughulikia tiketi ya Suarez kwenda London kwa kufanyiwa uchunguzi ila mazungumzo yatakuwa jijini Melbourne na akikubali dau la paundi milioni karibu 50 hivi basi atakwaa ndege kuelekea London kwa medical.