Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wakuu swala la kununua wachezaji sio rahisi kama baadhi ya members wanavyofikiri siku hizi soka ni umafia tu, tutapata wachezaji muhimu kabla ya dirisha kufungwa, tayari tuna wachezaji nyota ambao mwaka jana hawakuwika mfano Jack Wilshere, na kijana hatari wa miaka 16 ambaye ameonyesha umahiri wake katika kabumbu alipokuwa kule far east ..... ..... ..... mategemeo ya sure Boy, golikipa na mchezaji moja wa nyuma. Usajili ni siri hata hii ya Sure Boy ni Loser fools ndio walimwaga mtama lakini angetua kwa kushtukiza vile vile Wine Romney anaweza kutua Emirates bado muda upo. COYG .... ....

......kabisa bro, kuna wanaonunua wachezaji ili;

1. Kuimarisha team - Arsenal included...
2. Kuziba mapengo -
3. Kuua upinzani - Mourinho wa Chelski...
4. Almuradi wamenunua! - Man City na Spurs
 
It seems arsene is not really serious when it comes to signing.He has always been very bogus ending up signing just too blunt players.we have already lost a couple of players this window and not done any crucial signing so far.we have lost higuin,bernard is heading to donesky,there is a stiff competition for sure boy whereas £55m is needed,it is a dream to have rooney...the only thing here is that wenger will go for cheap players as usual and end up losing the battles..
Spot on mate...............
 
mbona huendi kule kwenye jukwaa lenu, kila asubuhi unaamkia hapa, kiukweli wengi wenu ni Arsenal fans ndio kwamba hamuishi kupitia hapa



Wengi tunapenda kuja hapa kwenye jukwaa lenu kwa sababu asilimia kubwa ya washabiki wa Arsenal ni deluded, wanachonga sana na wanongea pumba bila facts, hivyo tunakuja kuwarekebisha kidogo. Kama hizo pumba ulizoweka wewe hapo.
 
jamaa nilishamshtukia huyu katimu kameibuka baada ya Abramovich kuja mwaka 2003 baada ya miaka 50 ya kusindikiza washindi na anajifanya eti alikulia stamford bridge kumbe GLORY HUNTER MAARUFU..mi simshangai mihemko yake hapa jukwaani wakati jukwaa la maglory hunter wenzie hakai kule na mkuu huyu jamaa mechi yao ikiwa yacheza haonekanagi jukwaani na wakifungwa ndio kabisaa anakimbilia jukwaa la mapishi asikuumize kichwa..leo hii mrusi anaiachia timu atalia kama mtoto huyu "msakatonge" maskini yake huyu

YOU ARE JUST A HATER ANYWAY ulitele comment za kujinafkisha



Ahh! Wewe hunipiki shida kabisa nilishakuzoea, najua ni mzee wa pumba na udaku tu kwa kwenda mbele....another deluded goon.
 
......kabisa bro, kuna wanaonunua wachezaji ili;

1. Kuimarisha team - Arsenal included...
2. Kuziba mapengo -
3. Kuua upinzani - Mourinho wa Chelski...
4. Almuradi wamenunua! - Man City na Spurs



Kweli kabisa mkuu. Squillaci, Park, Chamakh, Santos, .....etc waliimarisha sana Arsenal.
Hahahaha
 
makosa madogomadogo sio tatizo kila mtu hata wewe unajuwa hii timu kubwa
Katika timu iliyojenga uwanja na kushiriki europe kila mwaka na haikutetereka kihivyo basi Arsenal, kweli hatuna silverware katika kipindi chote, kabla ya kuja chama hii nilipenda Mancity lakini tokea kuja waarabu wameharibu mpira na wengi hatujui kuwa mpira umeharibika, timu zinanunua ushindi sio kucheza kwa kiwango
Wewe unajuwa hii chama kubwa kwa stability
Wengi tunapenda kuja hapa kwenye jukwaa lenu kwa sababu asilimia kubwa ya washabiki wa Arsenal ni deluded, wanachonga sana na wanongea pumba bila facts, hivyo tunakuja kuwarekebisha kidogo. Kama hizo pumba ulizoweka wewe hapo.
 
makosa madogomadogo sio tatizo kila mtu hata wewe unajuwa hii timu kubwa
Katika timu iliyojenga uwanja na kushiriki europe kila mwaka na haikutetereka kihivyo basi Arsenal, kweli hatuna silverware katika kipindi chote, kabla ya kuja chama hii nilipenda Mancity lakini tokea kuja waarabu wameharibu mpira na wengi hatujui kuwa mpira umeharibika, timu zinanunua ushindi sio kucheza kwa kiwango
Wewe unajuwa hii chama kubwa kwa stability




Ooops! Unawezaje kubadilisha timu unayoshabiki? Kuna mwenzio hapo juu kaongea kuhusu glory hunters, nafikiri wewe ni mfano hai hapa. Na mko wengi sana humu baada ya 2003-04 Invincible.
 
article-2381910-1B1894C1000005DC-816_636x388.jpg


Emirates inaandaliwa kwa ajilki ya mitanange ya weekend - The Emirates cup!

Tinatisha .... ... COYG.




article-2381910-1B188F9B000005DC-934_634x381.jpg





article-2381910-1B18990B000005DC-322_634x407.jpg

Pitch perfect: The playing surface
is looking in good shape...



BTW Nachikia peas of ants tayari wivu umewajaa maana cow shed tayari imejaa cow dungs ... ... khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
article-2381910-1B1894C1000005DC-816_636x388.jpg


Emirates inaandaliwa kwa ajilki ya mitanange ya weekend - The Emirates cup!

Tinatisha .... ... COYG.




article-2381910-1B188F9B000005DC-934_634x381.jpg





article-2381910-1B18990B000005DC-322_634x407.jpg

Pitch perfect: The playing surface
is looking in good shape...



BTW Nachikia peas of ants tayari wivu umewajaa maana cow shed tayari imejaa cow dungs ... ... khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

I agree with Wenger.. I think our team is strong enough to challenge for the title! The spirit we showed towards the end proves that! My only concern is that a lack of signings may deflate team morale, also what if we find an injury hit season?

But who knows!!!! few players will be bought "the known or unknowns" wherever it doesn't matter if they come out with quality...who knew sagna,kos,jenkinson,hleb,nasri and many others??? I can't wait for the season to start lol
 
mimi nilikuja Arsenal kabla ya 2003/2004 na nilikuambia mwanzo niliondoka Man city sababu ya waarabu kama utakuwa na kumbukumbu nzuri jaribu kutafuta nani mwarabu wa mwanzo kule
Ooops! Unawezaje kubadilisha timu unayoshabiki? Kuna mwenzio hapo juu kaongea kuhusu glory hunters, nafikiri wewe ni mfano hai hapa. Na mko wengi sana humu baada ya 2003-04 Invincible.
 
Kweli kabisa mkuu. Squillaci, Park, Chamakh, Santos, .....etc waliimarisha sana Arsenal.
Hahahaha

.....hahah, kila team ina bench warmers bana. Some are 'Quality' perfect in training only [kama sparring partners kwenye boxing!] ....

Wengine ni 'vitega uchumi!', bought for peanuts---->sent on loans,----> wanauzwa kwa bei nzuri.

Mpira ni biashara sasa.
 
article-2383536-1B1E00E9000005DC-681_634x466.jpg



Toe the line, Prof amwambia Sure boy ... ... ..


article-2383536-1B1E00A1000005DC-771_634x469.jpg



Planning the next action ... .... ..





article-2383536-1B1DFD4D000005DC-521_634x482.jpg


Arms out wide: Aaron Ramsey during training on Friday





article-2383536-1B1DFEBF000005DC-35_634x480.jpg



All smiles: Mikel Arteta with a cheeky grin during training


article-2383536-1B1E0001000005DC-393_634x643.jpg

Back in the groove: Bacary Sagna looked delighted
the season is nearly here





article-2383536-1B1DFF16000005DC-870_634x439.jpg

Directing the traffic: Lukas Podolski grabs the ball






article-2383536-1B1E0DF4000005DC-643_634x468.jpg


Hands on: Kieran Gibbs and Per Mertesacker
challenge for the ball during the practice match






article-2383536-1B1E0FE8000005DC-671_634x535.jpg

Look who's back: Lukas Podolski points at Emmanuel Frimpong,
who spent last season on loan at Charlton and Fulham





article-2383536-1B1E07A2000005DC-599_634x647.jpg

Long and short of it: Per Mertesacker sees the funny side
of a Santi Cazorla comment

 
[h=5]Hili sasa ni transfer saga kulaleki

Kama Liverpool wameshtuka mpaka wamekimbilia kumnunua Diego Lopez kwa kufikia "release Clause yake" wanahisi kuwa Suarez ataondoka tu hilo wanalijua wanachokifanya ni "delaying tactics" hili suitors waje na BAHATI mbaya hakuna timu inayotoa kuanzia pound mil 40 na kuendelea kwenye soko la usajili so far ila Madrid ila sasa nao doh Suarez hawamtaki wako na "joke bid" kwa Bale

hii inanikumbusha saga la RVP baada ya kikao cha siri kati ya Wenger,gazidis na RVP na kushindwa kukubaliana walimtuma Dick law na Grimandi wamfuatilie Giloud kama repacement fast hata kabla hajauzwa...na Arsenal nao kama Liverpool walianza "delaying tactics" waje juventus nao wanakuja na pesa kiduchu pond mil 11 tena usikute walikuwa wanataka walipe kwa Instalments kama Mkopo wa benk....RVP mwishowe alikwenda manure hata kama hatukupenda ndio modern football ilivyo "no royalty" isipokuwa STEVEN GERRARD ndiye kabakia sasa unamshangaa Michael Owen eti anamshauri asiendoke kwenda timu ya EPL wakati yeye alikwenda kuchezea Manure na akijua kuwa yeye ni Legend wa liverpool

picha linanoga ila watamuuza tu nao wataanza kumuita "cunt" lol[/h]BBC Sport - Luis Suarez to consider transfer request in Liverpool dispute
 
haya leo Emirates kick-off
Nimekuja jamvini kuchek mechi live as niliko sina access na TV
 
Arsenal anakalia mpini wa pili hapa, huyu pendev ni kama shetani vile anakusanya kijiji chote cha Arsenal na kupiga goli la pili hapa
 
Back
Top Bottom